Thelionden
Senior Member
- Apr 7, 2018
- 165
- 156
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale, Naomba kupata ufafanuzi kidogo kati ya gari hizo tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:
1. Uimara wake rough road
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Kuhimili safari ndefu kuanzia km 1500
4. Comfortability kwenye rami na rough roads
5. Service
Naomba kuwasilisha wakuu kwa kujipa elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Uimara wake rough road
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Kuhimili safari ndefu kuanzia km 1500
4. Comfortability kwenye rami na rough roads
5. Service
Naomba kuwasilisha wakuu kwa kujipa elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app