Naomba kujua zaidi kuhusu gari aina ya Toyota Hilux na Nissan Hardbody

Thelionden

Senior Member
Apr 7, 2018
165
156
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale, Naomba kupata ufafanuzi kidogo kati ya gari hizo tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:

1. Uimara wake rough road
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Kuhimili safari ndefu kuanzia km 1500
4. Comfortability kwenye rami na rough roads
5. Service

Naomba kuwasilisha wakuu kwa kujipa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina experience na hardbody, lakini ninatumia hilux engine 2kd cc 2400. Tangu niinunue sijawahi kubadilisha spare part yoyote. Ni service tu na nnaweka genuine oils and filters.

Every after 5000 kms. kwa kweli mimi sina lalamiko juu ya hii gari mpaka wa leo.. long safari ina perform vizuri, fourwheel kwenye matope pia sijawahi kukwama. So huo ndo ushahidi wangu broo
 
Mkuu hii uliagiza au ilikuwa tayari imetumika kwetu hapa, ila nami mapenzi na moyo wangu uko kwa hii machine d4d.
Sina experience na hardbody, lakini ninatumia hilux engine 2kd cc 2400. Tangu niinunue sijawahi kubadilisha spare part yoyote. Ni service tu na nnaweka genuine oils and filters. Every after 5000 kms.. kwa kweli mimi sina lalamiko juu ya hii gari mpaka wa leo.. long safari ina perform vizuri, fourwheel kwenye matope pia sijawahi kukwama.. soo huo ndo ushahidi wangu broo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo na uzoefu na gari zote na gari zote ni nzuri.. just zote upate manual and ziwe diesel..

Hardbody seat ya nyuma imebanwa na unakaa kama upo kwa sedan.. ukipata version za UK is the best, version zilizotengenezwa SA ni kama cheaper option sio nzuri sanaaahhhhh...

Hilux ipo juu juu hata seat ndani na nafasi ya kutosha.. version ya Uk or thailand au Japan nzuri na ina tairi kubwa option ya SA vitairi vidogo ipo annoying kimtindo

Ila all in all both are tough cars, best fuel economy , zina power sanah na nzuri off road na lami..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupata sana mkuu wa hizi machine
Nipo na uzoefu na gari zote na gari zote ni nzuri.. just zote upate manual and ziwe diesel..

Hardbody seat ya nyuma imebanwa na unakaa kama upo kwa sedan.. ukipata version za UK is the best, version zilizotengenezwa SA ni kama cheaper option sio nzuri sanaaahhhhh...

Hilux ipo juu juu hata seat ndani na nafasi ya kutosha.. version ya Uk or thailand au Japan nzuri na ina tairi kubwa option ya SA vitairi vidogo ipo annoying kimtindo

Ila all in all both are tough cars, best fuel economy , zina power sanah na nzuri off road na lami..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale, Naomba kupata ufafanuzi kidogo kati ya gari hizo tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:

1. Uimara wake rough road
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Kuhimili safari ndefu kuanzia km 1500
4. Comfortability kwenye rami na rough roads
5. Service

Naomba kuwasilisha wakuu kwa kujipa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gari zote ziko vzuri na Wadau wamekupa majibu mujarabu kabisa. Lkn cha kuzingatia hapo hizo Nissan tatizo kubwa linakuja kwenye Mfumo wake wa Mafuta yaani Nozzle na Pump zake zimekuwa mtihani sana zikianza kusumbua maana zinapatikana kwa bei juu.
Kwa Hilux Vigggo iko vizuri sana kuanzia Speed, fuel economy na uimara wa injini, tatizo tu ile gari haina Body yaani ni bati la Gauge 32 pale ALAF ndio naliona kwenye ile gari
 
Gari zote ziko vzuri na Wadau wamekupa majibu mujarabu kabisa. Lkn cha kuzingatia hapo hizo Nissan tatizo kubwa linakuja kwenye Mfumo wake wa Mafuta yaani Nozzle na Pump zake zimekuwa mtihani sana zikianza kusumbua maana zinapatikana kwa bei juu.
Kwa Hilux Vigggo iko vizuri sana kuanzia Speed, fuel economy na uimara wa injini, tatizo tu ile gari haina Body yaani ni bati la Gauge 32 pale ALAF ndio naliona kwenye ile gari
Fact....
Hizi Hilux za sasa ni nzuri sana sehwmu walipokosea ni body....nyepesi sana....hazivumilii sana dhoruba za mapori ukilinganisha na HARDBODY NP 300..

Lakini both are great vehicles....ni suala la kuangalia mfuko na moyo wa mtu unapenda ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa speed,comfartability zaidi ukiwa ndani,spea za bei rahisi chukua Hilux.
Kwa ugumu,mikiki mikiki ya pori,kubeba mizigo,milimani,spea bei juu kidogo ila ukifunga umefunga chukua Hard body.

Nilikua kwenye Ngo flani ya wazungu,walizileta zikiwa 0km kabisa.route na kazi zilikua milimani,porini,zikiwa na mizigo nyuma ya maana,shuluba zakutosha.
Leo hii zikiwekwa hapa unaweza Hilux ilinunuliwa mwaka 90 jinsi ilivyosanda,gharama za maintenance tangu zilinunuliwe hilux anaongoza!
Hilux mayai mayai tu
 
bati la gauge ngapi mkuu? Hii rough roads haitufai hii.
Gari zote ziko vzuri na Wadau wamekupa majibu mujarabu kabisa. Lkn cha kuzingatia hapo hizo Nissan tatizo kubwa linakuja kwenye Mfumo wake wa Mafuta yaani Nozzle na Pump zake zimekuwa mtihani sana zikianza kusumbua maana zinapatikana kwa bei juu.
Kwa Hilux Vigggo iko vizuri sana kuanzia Speed, fuel economy na uimara wa injini, tatizo tu ile gari haina Body yaani ni bati la Gauge 32 pale ALAF ndio naliona kwenye ile gari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupata chief ila hilux ile ya zamani 3l iko vzr kidogo kwenye toughness.
Kwa speed,comfartability zaidi ukiwa ndani,spea za bei rahisi chukua Hilux.
Kwa ugumu,mikiki mikiki ya pori,kubeba mizigo,milimani,spea bei juu kidogo ila ukifunga umefunga chukua Hard body.

Nilikua kwenye Ngo flani ya wazungu,walizileta zikiwa 0km kabisa.route na kazi zilikua milimani,porini,zikiwa na mizigo nyuma ya maana,shuluba zakutosha.
Leo hii zikiwekwa hapa unaweza Hilux ilinunuliwa mwaka 90 jinsi ilivyosanda,gharama za maintenance tangu zilinunuliwe hilux anaongoza!
Hilux mayai mayai tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom