Unamaanisha model zipi kwenye hizo Nissan na Toyota? Maana Toyota wana model nyingi ambazo ni pickup, hivyohivyo na Nissan.Nina mpango wa kununua gari ya aina ya Pich Up used.Hivyo naomba kujua kati ya Toyota na Nissani ipi ni bora items of Bei, uimara,service na matumizi ya mafuta. Asanteni.
items = In terms of ...Nina mpango wa kununua gari ya aina ya Pich Up used.Hivyo naomba kujua kati ya Toyota na Nissani ipi ni bora items of Bei, uimara,service na matumizi ya mafuta. Asanteni.
NISSAN ni DUTSUNNina mpango wa kununua gari ya aina ya Pich Up used.Hivyo naomba kujua kati ya Toyota na Nissani ipi ni bora items of Bei, uimara,service na matumizi ya mafuta. Asanteni.
Through my experience, u will never go wrong, Toyota Hilux sc its the best, hasa model za 2006 up to 2013 ni ngumu mno na rahisi kuzihudumia na pia soko lake ni zuri ukiamua kuuza, na nyingi Zina 2.5L engine yake ,pia hizi latest model ambazo nyingi ni 2.4L nazo ni safi mno na zipo zaidi luxurious na bila shaka Zina speed (ingawa sio kigezo kikubwa)safety muhimu zaidi
Wewe ndio mwenye upumbavu, mtoa hoja anaulizia pick up gani bora kati ya toyota na Nissan, na mimi nimemshauri Toyota hilux sc(hii ni pick up )au nimekuchanganya na lugha hapo, kama ulikua ni mjinga basi jifunze kama una upumbavu can't helpUmeilizwa kingine na wewe unajibu kingine.
Aliyesema wabongo hatujui kuelekeza mtu alikuwa sahihi.
2007 nayo unaitaja bila aibu?Mzee Toyota land cruiser pickup ndio mpango mzima.
Nilinunua used mwaka 2007 mpaka leo chuma inahema.
Gari ya saiti hiyo.
Msamehe bure, huyu ni jamii ya watu ambao kazi yao ni kuharibu mood za wengine.Wewe ndio mwenye upumbavu, mtoa hoja anaulizia pick up gani bora kati ya toyota na Nissan, na mimi nimemshauri Toyota hilux sc(hii ni pick up )au nimekuchanganya na lugha hapo, kama ulikua ni mjinga basi jifunze kama una upumbavu can't help
2007 nayo unaitaja bila aibu?
Kwanini mnasumbuka na magari wakati Kuna mfumuko wa bei na mafuta kupanda. Wekeza iyo hela Yako kwenye crypto na forex badala ya kununua hayo mapikapNina mpango wa kununua gari aina ya Pich Up used.Hivyo naomba kujua kati ya Toyota na Nissani ipi ni bora items of Bei, uimara,service na matumizi ya mafuta. Asanteni.
Correcteditems = In terms of ...
umesomekaKama Huna Hela Za Kutosha Stay Away From Nissan. Vipuri Sio Siri Bei ni karibia au mara Mbili ya Vipuri vya Toyota.
Mfano; clutch cylinder ya Juu Mimi nanua 25k-50k Kwa Gari yangu ya Toyota. Full Set.
Gari hyo hyo Nissan kifaa hcho hcho ni 130k na Vingine Vingi.
Kwahyo Ukichukua Nissan, Uwe na Mfuko Mzuri.
Kuna kuhusu Off-road Survival ya Toyota Iko Juu. Nimekumia Off-road Aisee Acha Kabisa. Fain Belt ilikatika Porini. Siku Mbili ikaagizwa Bongo. Ikapigwa Chap.
Nissan Ilukuja Ku Knock. Iliniangisha kwenye Mrandi.
Kiukweli naziepuka Sana Nissan.
Toyota is the Best.