Naomba kujua zaidi kuhusu gari aina ya Toyota Hilux na Nissan Hardbody

Nimekupata chief ila hilux ile ya zamani 3l iko vzr kidogo kwenye toughness.

Sent using Jamii Forums mobile app


Naomba kuuliza hapa na mie...
Hilux Double Cabin 2.8l inaweza funga engine gani ukitaka kufanya modification? Nilishatumia 2.8L na 3L engines... kwa sababu engine zote hizo zimekufa ninawaza kupata engine nyingine tough, fuel economy na yenye mwendo...ushauri plz....ninunue engine ipi??
 
Naomba kuuliza hapa na mie...
Hilux Double Cabin 2.8l inaweza funga engine gani ukitaka kufanya modification? Nilishatumia 2.8L na 3L engines... kwa sababu engine zote hizo zimekufa ninawaza kupata engine nyingine tough, fuel economy na yenye mwendo...ushauri plz....ninunue engine ipi??
Funga injini ya 2L-T. Hii ni injini za 2L zilizoboreshwa kwa kuwekewa turbo hii utapata ya mtumba kutoka Dubai au South Africa.

Pia unaweza kufunga 1KZ au 1KD kama mfuko wako upo vizuri.
 
Funga injini ya 2L-T. Hii ni injini za 2L zilizoboreshwa kwa kuwekewa turbo hii utapata ya mtumba kutoka Dubai au South Africa.

Pia unaweza kufunga 1KZ au 1KD kama mfuko wako upo vizuri.


Asante sana mkuu kwa ushauri.
3L inauzwa M5 na zaidi pale Shaurimoyo...je hizo 2L za Turbo zinafanya vizuri zaidi ya 3L ya kawaida? Na bei yake ina range vp?

1KZ/1KD kuna fundi aliniambia ati haiwezi funga kwy chasis ya 2.8 Hilux. Je unadhani itaweza fungwa vyema? Na bie zake zinaendaje?

Asante sana
 
Achana ni Nisan opt for that Toyota hutajuta
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale, Naomba kupata ufafanuzi kidogo kati ya gari hizo tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:

1. Uimara wake rough road
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Kuhimili safari ndefu kuanzia km 1500
4. Comfortability kwenye rami na rough roads
5. Service

Naomba kuwasilisha wakuu kwa kujipa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Mkuu Viggo unatakiwa kuifananisha na navara, sio hizi hardbody..
Gari zote ziko vzuri na Wadau wamekupa majibu mujarabu kabisa. Lkn cha kuzingatia hapo hizo Nissan tatizo kubwa linakuja kwenye Mfumo wake wa Mafuta yaani Nozzle na Pump zake zimekuwa mtihani sana zikianza kusumbua maana zinapatikana kwa bei juu.
Kwa Hilux Vigggo iko vizuri sana kuanzia Speed, fuel economy na uimara wa injini, tatizo tu ile gari haina Body yaani ni bati la Gauge 32 pale ALAF ndio naliona kwenye ile gari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari zote ziko vzuri na Wadau wamekupa majibu mujarabu kabisa. Lkn cha kuzingatia hapo hizo Nissan tatizo kubwa linakuja kwenye Mfumo wake wa Mafuta yaani Nozzle na Pump zake zimekuwa mtihani sana zikianza kusumbua maana zinapatikana kwa bei juu.
Kwa Hilux Vigggo iko vizuri sana kuanzia Speed, fuel economy na uimara wa injini, tatizo tu ile gari haina Body yaani ni bati la Gauge 32 pale ALAF ndio naliona kwenye ile gari
Kuna TOYOTA HILUX ambayo kwa nyuma imeandikwa SRS. Tofauti Ni nini.
 
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale, Naomba kupata ufafanuzi kidogo kati ya gari hizo tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:

1. Uimara wake rough road
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Kuhimili safari ndefu kuanzia km 1500
4. Comfortability kwenye rami na rough roads
5. Service

Naomba kuwasilisha wakuu kwa kujipa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pata toleo la ulaya au middle east hutajuta...pata toleo la south kwa ajili ya Tanzania utazichukia hizo gari...kama utakubali ushauri chukua hilux double cabin
 
Hayo magari yote ni magumu sana tatizo wametoa model za karibuni kabisa hawa Toyota wana chui,Nissan wanayo toleo jipya Ford wapo na Ford Cobra...Nissan hardbody hiyo gari ni ngumu sana na inavumilia mazingira yote kwa mimi hapo ntachukua Nissan Kama nina shughuli za porini sana Ila Kama kutokea home na mjini na shamba kidogo nachukua Toyota D4D..
 
Pata toleo la ulaya au middle east hutajuta...pata toleo la south kwa ajili ya Tanzania utazichukia hizo gari...kama utakubali ushauri chukua hilux double cabin
Mshana sijakuelewa za SA zina matatizo gani Mkuu na pia mbona ndio nyingi tunatumia huko hizo muda mrefu sioni matatizo yake hivi mnaongea mmefanya tafiti kweli au
 
Nasubiri majibu ya mdau niweze kujua ubaya wa magari ya SA.
Mimi niliwahi leta auto Honda ballade mwaka 2000 kwani kuna mtu aliitaka walikua wanasema auto gear sio nzuri nikaishia kumwachia uncle angu mpaka kesho anatumia hiyo gari baadae wakaanza kumsumbua awauzie baada ya kuingia hizo auto nyingi bongo...Nina Ford bantam na hiyo Toyota toka 2012 zinapiga kazi mno Tanzania hapa nipo na Nissan hard body maana bei zao huku ni cheap tuu na gari kweli ukiona mtu anaikosoa D4D engine jua ajaifanyia tafiti kasikia tuu...
 
Mshana sijakuelewa za SA zina matatizo gani Mkuu na pia mbona ndio nyingi tunatumia huko hizo muda mrefu sioni matatizo yake hivi mnaongea mmefanya tafiti kweli au
Nina uhakika na ninachokiongea chuo kikuu walinunua kama 50 hivi miaka kama 15 iliyopita , zilikufa moja baadabya nyingine
Ni rahisi kukuta hilux double cabin namba A lakini sio hard body za South
Mashirika kibao yameachana nazo kabisa na kwenye minada hazina soko
 
Nina uhakika na ninachokiongea chuo kikuu walinunua kama 50 hivi miaka kama 15 iliyopita , zilikufa moja baadabya nyingine
Ni rahisi kukuta hilux double cabin namba A lakini sio hard body za South
Mashirika kibao yameachana nazo kabisa na kwenye minada hazina soko
Nilidhani unasema Toyota ndio maana nikataka kushangaa na pia Nissan sijui Kama zina matatizo makubwa unayoyaongelea na Mara nyingi magari ya mashirika huwa kwenye service inakua ni kikwazo kwao yaani unakuta wanajidalalia gari zao na pia inakuaje gari hiyo hiyo niwe nayo Mimi ninadumu nayo na naipa kazi za kutosha wakati chuo wameferi hapo Arusha wachina na kampuni moja wanapendelea sana Nissan kwa ajili ya kuwakodisha kwa kazi zao na wanalipa kwa mwezi bila matatizo yeyote ili mradi gari iwe nzima tuu...
 
Nilidhani unasema Toyota ndio maana nikataka kushangaa na pia Nissan sijui Kama zina matatizo makubwa unayoyaongelea na Mara nyingi magari ya mashirika huwa kwenye service inakua ni kikwazo kwao yaani unakuta wanajidalalia gari zao na pia inakuaje gari hiyo hiyo niwe nayo Mimi ninadumu nayo na naipa kazi za kutosha wakati chuo wameferi hapo Arusha wachina na kampuni moja wanapendelea sana Nissan kwa ajili ya kuwakodisha kwa kazi zao na wanalipa kwa mwezi bila matatizo yeyote ili mradi gari iwe nzima tuu...
Kumbuka hapa tunaongelea Nissan hardbody na Mimi nimezungumzia toleo la South Afrika
 
Kumbuka hapa tunaongelea Nissan hardbody na Mimi nimezungumzia toleo la South AAfrrica

Kumbuka hapa tunaongelea Nissan hardbody na Mimi nimezungumzia toleo la South Afrika
Mimi natoa hapa gari na zipo huko zinapiga kazi kwa wachina moja ipo kwenye kampuni ya mnara na ingine kwa wachina hazina matatizo yeyote Nissan Hard body double cabin...na wachina wanahitaji nyingine pia
 
Mimi niliwahi leta auto Honda ballade mwaka 2000 kwani kuna mtu aliitaka walikua wanasema auto gear sio nzuri nikaishia kumwachia uncle angu mpaka kesho anatumia hiyo gari baadae wakaanza kumsumbua awauzie baada ya kuingia hizo auto nyingi bongo...Nina Ford bantam na hiyo Toyota toka 2012 zinapiga kazi mno Tanzania hapa nipo na Nissan hard body maana bei zao huku ni cheap tuu na gari kweli ukiona mtu anaikosoa D4D engine jua ajaifanyia tafiti kasikia tuu...
Mkuu nambie bei ya hiyo Nissan hilux hapo SA nijilipue kwa shughuri zangu za shamba.
 
Back
Top Bottom