The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,459
- 17,268
Habari wakuu
Naomba kuweka kumbukumbu zangu sawa, naomba kujua wakuu wa kurugenzi zote za chama cha demokrasia na maendeleo.
Kuna kitu naona hakiko sawa katika kumbukumbu zangu au katika taarifa zangu, naomba niwajue, ni kwa nia njema tu ya kupata taarifa na kuweka kumbukumbu zangu vizuri.
Naomba kuwajua hao wakuu wa idara na pia kujua wanatoka wapi, yaani kila mkuu wa idara anatoka mkoa gani.
Natanguliza shukrani.
Naomba kuweka kumbukumbu zangu sawa, naomba kujua wakuu wa kurugenzi zote za chama cha demokrasia na maendeleo.
Kuna kitu naona hakiko sawa katika kumbukumbu zangu au katika taarifa zangu, naomba niwajue, ni kwa nia njema tu ya kupata taarifa na kuweka kumbukumbu zangu vizuri.
Naomba kuwajua hao wakuu wa idara na pia kujua wanatoka wapi, yaani kila mkuu wa idara anatoka mkoa gani.
Natanguliza shukrani.