Naomba kujua utaratibu (mila) ya kabila la Wamanyema

Wamanyema tupo....🤝
Karibu bwana shemeji!!!!!
Bila kupoteza muda, sisi wamanyema kuna hawa wanajiita wajomba.... Wakija na makoti yao pale bro mahali yake n kubwa kinoma.

Lakini kitu kimoja ninahakika nacho,,,, ukioa mmanyema umepata wife material (weng n wavumilivu sana hlf hawana ulimbuken wa kutaka maisha ya stareh🚶🚶

Kuhusu taratibu za ndoa sina uzoefu sana sabb sijazaliwa kwenye asili huko... Ila naweza changia vitu vichache sabb nilishuhudia dada yangu alivyoolewa!!!

Kwanza kabisa inatangulia taarifa ya uchumba (hii anaweza akatanguliza bnt kupitia kwa mama yake)
Pili wanakuja ndugu wa mume na wazee wachache wenye ukaribu na family ya bnt (kuleta barua....)
Hapa sasa utakuta tayar ndugu wa mke pia wamekusanyana kwahyo inakuwa n Kama bungeni.
Baada ya hapo utatajiwa mahali Kama unayo unatoa hata nusu story inaisha


(Nakuibia Siri.... Sisi huwa hatumalizi mahali kwahyo ukitoa nusu hyo nyingine hutokuja kudaiwa kamwe)

Anyway hayo nimeungaunga tu.... Ila nahakika yatakusaidia japo kiasi
 
Wamanyema tupo....🤝
Karibu bwana shemeji!!!!!
Bila kupoteza muda, sisi wamanyema kuna hawa wanajiita wajomba.... Wakija na makoti yao pale bro mahali yake n kubwa kinoma.

Lakini kitu kimoja ninahakika nacho,,,, ukioa mmanyema umepata wife material (weng n wavumilivu sana hlf hawana ulimbuken wa kutaka maisha ya stareh🚶🚶

Kuhusu taratibu za ndoa sina uzoefu sana sabb sijazaliwa kwenye asili huko... Ila naweza changia vitu vichache sabb nilishuhudia dada yangu alivyoolewa!!!

Kwanza kabisa inatangulia taarifa ya uchumba (hii anaweza akatanguliza bnt kupitia kwa mama yake)
Pili wanakuja ndugu wa mume na wazee wachache wenye ukaribu na family ya bnt (kuleta barua....)
Hapa sasa utakuta tayar ndugu wa mke pia wamekusanyana kwahyo inakuwa n Kama bungeni.
Baada ya hapo utatajiwa mahali Kama unayo unatoa hata nusu story inaisha


(Nakuibia Siri.... Sisi huwa hatumalizi mahali kwahyo ukitoa nusu hyo nyingine hutokuja kudaiwa kamwe)

Anyway hayo nimeungaunga tu.... Ila nahakika yatakusaidia japo kiasi
aisee nashukuru sana, na kuhusu hilo la mahali kuwa kubwa nimkua nikilisikia lakini kwa sababu wanaweza kuchukua hata nusu basi sina shaka mtoto wa kimanyema namn'goa
 
Wamanyema tupo....🤝
Karibu bwana shemeji!!!!!
Bila kupoteza muda, sisi wamanyema kuna hawa wanajiita wajomba.... Wakija na makoti yao pale bro mahali yake n kubwa kinoma.

Lakini kitu kimoja ninahakika nacho,,,, ukioa mmanyema umepata wife material (weng n wavumilivu sana hlf hawana ulimbuken wa kutaka maisha ya stareh🚶🚶

Kuhusu taratibu za ndoa sina uzoefu sana sabb sijazaliwa kwenye asili huko... Ila naweza changia vitu vichache sabb nilishuhudia dada yangu alivyoolewa!!!

Kwanza kabisa inatangulia taarifa ya uchumba (hii anaweza akatanguliza bnt kupitia kwa mama yake)
Pili wanakuja ndugu wa mume na wazee wachache wenye ukaribu na family ya bnt (kuleta barua....)
Hapa sasa utakuta tayar ndugu wa mke pia wamekusanyana kwahyo inakuwa n Kama bungeni.
Baada ya hapo utatajiwa mahali Kama unayo unatoa hata nusu story inaisha


(Nakuibia Siri.... Sisi huwa hatumalizi mahali kwahyo ukitoa nusu hyo nyingine hutokuja kudaiwa kamwe)

Anyway hayo nimeungaunga tu.... Ila nahakika yatakusaidia japo kiasi
aisee nashukuru sana, na kuhusu hilo la mahali kuwa kubwa nimkua nikilisikia lakini kwa sababu wanaweza kuchukua hata nusu basi sina shaka mtoto wa kimanyema namn'goa coz nimemuelewa aisee
 
aisee nashukuru sana, na kuhusu hilo la mahali kuwa kubwa nimkua nikilisikia lakini kwa sababu wanaweza kuchukua hata nusu basi sina shaka mtoto wa kimanyema namn'goa coz nimemuelewa aisee
Bila kusahau wazee wa kimanyema wanapenda sana kupewa heshima kuliko pesa..... Ukimuheshimu baba mkwe, kwisha habari mtoto hana sauti kwako!!!
Pia unaweza pewa hata bure (kwa mkopo)
Sisi huwa tunathamini Sana kujuliwa hali.... This is trick bro, jitahd kila baada ya muda unawapigia cm wakwe kuwajulia hali
(Hapo utapendwa Sana🚶🚶

Anyway safari njema kaka
 
Wakirudi nyumbani kwao hutafutiwa watu wa kufanya nao mapenzi, watoto wote hawawezi kuwa wako, lazima tuu watafute mmoja wa kimanyema na ukishangaa shangaa watoto wote wanakuwa ni wa watu wa kabila lao
 
Wakirudi nyumbani kwao hutafutiwa watu wa kufanya nao mapenzi, watoto wote hawawezi kuwa wako, lazima tuu watafute mmoja wa kimanyema na ukishangaa shangaa watoto wote wanakuwa ni wa watu wa kabila lao
Sio kweli sio kweli sio kweli😂😂😂...... Sio hatuna tabia za kitusi bhana!!!
Kwanza sisi wamanyema huwa hatupendi kuoana sisi kwa sisi 🚶🚶
 
habari za jioni ndugu zangu,

Katika hekaheka zangu za kutafuta mke wa kuoa nimejikuta nimeangukia kwa mtoto wa kimanyema. sasa nina hitaji kujua utaratibu kuhusu kishika uchumba na mahali najua humu kuna kila aina ya kabila la hapa Tanzania.
Cheki na zitto kabwe
 
Wamanyema siyo kabila ni jumuiya muulize vizuri yeye ni Mbembe,mbwari,mbuyu,mbakanza ,mgoma,mbangubangu,mbondo nk
 
habari za jioni ndugu zangu,

Katika hekaheka zangu za kutafuta mke wa kuoa nimejikuta nimeangukia kwa mtoto wa kimanyema. sasa nina hitaji kujua utaratibu kuhusu kishika uchumba na mahali najua humu kuna kila aina ya kabila la hapa Tanzania.
Hakuna kabila linaitwa wamanyema bali manyema ni sehemu na ni muunganiko wa makabila zaidi ya matano mbwari,mbembe,mgoma,mnyakaramba nk
 
Mwami Atale, bila shaka ni Mbembe, Kuna tofauti kati ya mila ya Kimanyema na kibembe. Maana kuna Wabembe wa aina mbili, Wabembe Wamanyema(hawa wengi ni wanyang'nja) na Wabembe wa kujitegemea(wengi wanyakaboge).
Suala la Wajomba na kutaka vitu si mila ya Kimanyema bali sehemu yamila za zamani za baadhi ya makabila ya Kimanyema kama Waluba, Wagoma na Wanyakaramba.
Kwanza ifahamike mila za Kimanyema ni mchanganyiko wa baadhi ya mila za Mrima na Tanganyika, yaani katika mambo mengi Wamanyema wanafanana na watu wa pwani mf. Kwenye harusi Wamanyema wana ndundu na Wadigo pia, kwenye kucheza unyago, Wamanyema wanavina na Wazaramo pia.
Kwenye jando la wingi(Yando) Wamanyema waliimba nyimbo nyingi kwa kiswahili, na mwali wa kwanza aliitwa kiranja kama ilivyo kwa wamrima(watu wa pwani, maana huwa hatuwaiti Waswahili kwasababu nasi pia tunaitwa na kujiita Waswahili).
Mila hizo za juu ni tofauti na za makabila ya zamani mf. Mila ya Wabembe hasa kwa huko ng'ambo huwa hakuna ndundu ya harusi, bali mlolongo wa vitu vya mababu na wajomba, ikùlù, ibaló na mahari za mitamba.
Kwenye jando la huko ng'ambo Wabembe huita "Butende" na huimba Kibembe.
Kwenye msondo wa Kimanyema(Unyago) mwali mualikwa wa Unyago wa kibembe huhesabika bado msungo na haingii kwenye msondo labda atoe fedha kidogo kwa manyakanga aingie kualikwa(kuchezwa) upya na si kuvinwa kama "Mwali kigego".
Kwenye harusi Kimanyema ngoma ya kualika na kutawisha harusi huwa ni msondo ambao ngesha ni siku moja, la mgambo siku 7 mara nyingi huwa uani, ila ule wa barabarani ndo uliitwa wa "Warumba wa Nyakanga" Ila kwa Wabembe harusi hutawishwa na ngoma ya Mkunga. Kwenye msondo Wamanyema huimba kwa Kiswahili "Kutulisha vya ukolo... ", "ningekuwa kwetu...", na mara chache kizoba mf. "Funga kalomo ina wa mtozi", "uli buta mlumyana", "Nasoailwa, nasoaliwa, nasoailwa na ngeke, na mapapai" n.k ila kwenye Mkunga Wabembe mara nyingi huimba kibembe mf. Walùndo mpunga na nlùme wa Bene taùshilye ù'ùwa" "Wamona 'o'o yabundjwa eeh balye bakenyi, wamona mbùci yabundjwa bakùcha obe" n.k na mara chache Kiswahili mf. "Bobo bobo walia nini, Nalia shida eeh, nalia shidaa...", "...kina manjekele..."n.k

Kolo Othman Hamza Malilo II Kizoela Alghamawiy Mwene mbonwe, Sultani wa Wamanyema wa Himaya ya kienembonwe ya Ujiji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom