cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
Nimevutiwa sana na simu za iPhone hasa iPhone 6+ ila sijawahi kuitumia nimekuja kwenu mliowahi kutumia mnijuze mamba machache
(a) naomba kujua kuhusu ukaaji wa chaji
(b) naomba kujua ubora wa camera
(c) naomba kujua kuhusu uingiza wa app kama vile. ITV, AZAM TV, JAMII FORMS NK .
karibuni sana ktk mjadala huu sat.
Sent using Jamii Forums mobile app
(a) naomba kujua kuhusu ukaaji wa chaji
(b) naomba kujua ubora wa camera
(c) naomba kujua kuhusu uingiza wa app kama vile. ITV, AZAM TV, JAMII FORMS NK .
karibuni sana ktk mjadala huu sat.
Sent using Jamii Forums mobile app