Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Hii kwa mujibu wa kamusi ya TUKI kuwa "sorry" ni "samahani"
View attachment 1256098
Mimi ninasema kuna mapungufu, ukizingatia kiswahili ni lugha finyu kwa maneno kulinganisha na kiingereza.
Samahani ni Excuse, na Sorry ni pole au -sikitika. Sorry ni neno la kuonyesha masikitiko baada ya kutokea jambo la baya.
Na Excuse ni neno la kusema/ kuomba kabla ya mtu hajafanya usumbufu kwa watu au mtu mwingine.
Nasema katika hiyo tafsiri ya TUKI kuna mapungufu na Wanatakiwa wafanye maongezeko na mabadiliko katika editions zingine.