Naomba kujua makaridio ya vifaa hivi

Naomba kujua makaridio ya vifaa hivi

Ndagafumuni

Member
Joined
Jul 26, 2018
Posts
7
Reaction score
5
Wakuu salama humu...
Mwenye uelewea na kuweza kunipa makadirio ya gharama ya vifaaa alivoandika fundi hapo anisaidie. Naomba roughly estimation.
Shukran
IMG_20191014_103610.JPG
 
Umoja wa mafundi Tanzania, chini ya katibu wetu "Fundi maiko" Tumekataa kuwa ma-snitch...

Bei aliyokupa fundi wako ndio hiyo hiyo
mkuu fundi maiko hajanipa makadirio yoyote..yeye kaandika vifaa tuu. So mimi nataka nijue gharama yaweza kuwa kiasi gani
 
Back
Top Bottom