Naomba kujua kuhusu posho za usimamizi wa mitihani.

JIGOKU IKAYA

Member
Apr 29, 2017
38
45
Mimi ni Mwl, mwaka Jana nilisimamia mtihani drs la nne. Baada ya semina mkurugenzi alitulipa elfu 35, akasema tudai elfu kumi. Baada ya hapo tukapangiwa shule za kusimamia. Tulitakiwa kusimamia Siku tatu. Kila Siku elfu 30, kwa hiyo 30000*3=90000+10000 ya semina ni 100000. Aisee toka mtihani huo wa taifa ufanyike na matokeo baraza likatoa, hakuna malipo wala majibu au ufafanuzi wa stahiki za wasimamizi hao. Naomba serikali na wadau wa ELIMU mtolee maelezo japo mafupi ya maswali haya; 1.Pesa hii inalipwa na nani? 2. Je, halmashauri hazijalipa? 3. Na kama wengine wamelipwa nn kifanyike kwa halmashauri ambazo hazijalipa?. Kutoka halmashauri ya BARIADI VIJIJINI. Nawasilishaa karibuni kwa maoni wadau.
 
Mimi ni Mwl, mwaka Jana nilisimamia mtihani drs la nne. Baada ya semina mkurugenzi alitulipa elfu 35, akasema tudai elfu kumi. Baada ya hapo tukapangiwa shule za kusimamia. Tulitakiwa kusimamia Siku tatu. Kila Siku elfu 30, kwa hiyo 30000*3=90000+10000 ya semina ni 100000. Aisee toka mtihani huo wa taifa ufanyike na matokeo baraza likatoa, hakuna malipo wala majibu au ufafanuzi wa stahiki za wasimamizi hao. Naomba serikali na wadau wa ELIMU mtolee maelezo japo mafupi ya maswali haya; 1.Pesa hii inalipwa na nani? 2. Je, halmashauri hazijalipa? 3. Na kama wengine wamelipwa nn kifanyike kwa halmashauri ambazo hazijalipa?. Kutoka halmashauri ya BARIADI VIJIJINI. Nawasilishaa karibuni kwa maoni wadau.
YAANI WATUMISHI WENGINE JAMANI, YAAN HATA NAMNA YA KUFANYA KWENYE HAKI ZAO HAWAJUI SASA SIJUI WANAJUA NINI? WEWE, WEWE! HEBU FANYA HIVI, ANDIKA BARUA KWA MKURUGENZI WAKO LAKINI IPITIE KWA MKUU WAKO WA SHULE NA AFISA ELIMU WAKO YAH: KUKUMBUSHIA KULIPWA POSHO YANGU YA KUSIMIMIA MITIHANI KIASI CHA TSH XXXXXXXXXXX MWAKAXXXXXX. sasa kwenye main body ndo ainisha hayo malipo yako Kila Siku elfu 30, kwa hiyo 30000*3=90000+10000 ya semina ni 100000. baada ya hapo hitimisha kwa ukarimu na mategemeo! Government works on papers mkuuuuuuuuu!
 
YAANI WATUMISHI WENGINE JAMANI, YAAN HATA NAMNA YA KUFANYA KWENYE HAKI ZAO HAWAJUI SASA SIJUI WANAJUA NINI? WEWE, WEWE! HEBU FANYA HIVI, ANDIKA BARUA KWA MKURUGENZI WAKO LAKINI IPITIE KWA MKUU WAKO WA SHULE NA AFISA ELIMU WAKO YAH: KUKUMBUSHIA KULIPWA POSHO YANGU YA KUSIMIMIA MITIHANI KIASI CHA TSH XXXXXXXXXXX MWAKAXXXXXX. sasa kwenye main body ndo ainisha hayo malipo yako Kila Siku elfu 30, kwa hiyo 30000*3=90000+10000 ya semina ni 100000. baada ya hapo hitimisha kwa ukarimu na mategemeo! Government works on papers mkuuuuuuuuu!
Tulisimamia mitihani ya fm 4 2015, hadi leo tumekopwa. Barua zilikwenda, lkn tukajibiwa porojo tu. Afisa elimu na mkurugenzi wote wanajikanyaga tu. Nilishamwambia mkuu asinipendekeze kusimamia hiyo mitihani.
 
Daah yaani kila siku vilio kwa walimu hadi huruma namshukuru Mungu kwa kuniepusha na kadhia hii wanayopata walimu kwani nami awali kidogo tu niende kozi ya ualimu ila milango mingine ya heri ikafunguka nakuachana na wazo la ualimu poleni sana ndg zang
 
Cha msingi ni kufanya ifuatavyo kama alivyokuelekeza mkuu Mediator ukishaandika hiyo barua ainisha nakala kwa Mwl Mkuu ,DED,DEO,REO na kote hakikisha nakala za barua yako zinafika na wewe kubaki na barua hiyo kama uthibitisho. NB: kuwa makini na jaribu kuwasoma viongozi wako kitabia wasije badae wakaanza kudeal na wewe kwa lengo la kukuharibia kibarua chako.
 
Sidhani kama hapa ni mahali sahihi kwa hii kesi yako. Nijuavyo mimi hupaswi kutangaza kuwa ulisimamia mtihani wa taifa kwani unafungwa na kiapo cha utunzaji siri!
Napita tu.
 
Unataka iwe siri mpaka lini???? Nimeteseka kuvuka vijiji kadhaa kwenda kusimamia. Nidhurumike afu bado iwe siri. Nimesema
 
YAANI WATUMISHI WENGINE JAMANI, YAAN HATA NAMNA YA KUFANYA KWENYE HAKI ZAO HAWAJUI SASA SIJUI WANAJUA NINI? WEWE, WEWE! HEBU FANYA HIVI, ANDIKA BARUA KWA MKURUGENZI WAKO LAKINI IPITIE KWA MKUU WAKO WA SHULE NA AFISA ELIMU WAKO YAH: KUKUMBUSHIA KULIPWA POSHO YANGU YA KUSIMIMIA MITIHANI KIASI CHA TSH XXXXXXXXXXX MWAKAXXXXXX. sasa kwenye main body ndo ainisha hayo malipo yako Kila Siku elfu 30, kwa hiyo 30000*3=90000+10000 ya semina ni 100000. baada ya hapo hitimisha kwa ukarimu na mategemeo! Government works on papers mkuuuuuuuuu!
Ndio naweza kufanya yote hayo, lakini nilitaka kujua kama halmashauri zingine hili suala likoje? Mwenye ushuhuda na hili karibu.
 
Sidhani kama hapa ni mahali sahihi kwa hii kesi yako. Nijuavyo mimi hupaswi kutangaza kuwa ulisimamia mtihani wa taifa kwani unafungwa na kiapo cha utunzaji siri!
Napita tu.
Kuna siri ya mda mrefu na siri ya mda mfupi. Hivyo mtihani ukishamalizika sio siri tena
 
Back
Top Bottom