KIBESENI JF-Expert Member Jul 7, 2011 339 268 Nov 14, 2019 #1 Nimekiona mtandaoni kinauzwa. Je, ni kweli internet yake ni bila bando? Au kinafanyaje kazi? Maana kimeandikwa free internet. Please help me!
Nimekiona mtandaoni kinauzwa. Je, ni kweli internet yake ni bila bando? Au kinafanyaje kazi? Maana kimeandikwa free internet. Please help me!
vvm JF-Expert Member Jul 18, 2014 6,310 10,345 Nov 14, 2019 #2 duniani hamna free Internet, ukiona free ujue kuna mtu anakulipia. Hapo ndiyo ujiulize ni kwa lengo gani akulipie internet? Yeye anafaidika na nini?
duniani hamna free Internet, ukiona free ujue kuna mtu anakulipia. Hapo ndiyo ujiulize ni kwa lengo gani akulipie internet? Yeye anafaidika na nini?