pockert money
Member
- Mar 12, 2022
- 22
- 65
Mwenye uzoefu na ili tangazo au mtu ambaye alishafanikisha na yupo ofisini naomba kujua kazi kubwa ni nini japo tangazo linajieleza ila bado sielewi vizuri.ukiajiliwa kwenye izi halmashauri unakuwa mtendaji wa kijiji kivipi? Vipi kuhusu kada yako ulosomea.tangazo linataka NTA level 5 vipi kama una level 6 utaweka vyeti vyote? Na kama utaweka cha level 5 vipi kuhusu mshahara utalipwa wa level gani nawasilisha karibuni kwa comment.