Bolingo Ya Telephone
Senior Member
- Jun 29, 2020
- 114
- 116
Wakuu, naomba kujua machache kwa wenye uzoefu na masoko ya viazi vitamu. Nina shamba langu la viazi vitamu,nitaanza kuvuna mwezi wa nane,nategemea kuvuna zaidi ya gunia 200.
Sasa naomba kujua hali ya masoko hasa kwa walioko Dar es Salaam,vipi bei ya gunia la kilo 100 linauzwaje huko? Au wanauza kwa kilo? Naomba tushirikianeni ili tupate taarifa ya kutosha kuhusu masoko ya zao hili.Ahsante!
Sasa naomba kujua hali ya masoko hasa kwa walioko Dar es Salaam,vipi bei ya gunia la kilo 100 linauzwaje huko? Au wanauza kwa kilo? Naomba tushirikianeni ili tupate taarifa ya kutosha kuhusu masoko ya zao hili.Ahsante!