Agri- Care
Member
- Mar 22, 2017
- 6
- 1
Ugonjwa unaoitwa " kidney Stone " je kwa Kiswahili ni Ugonjwa gani huu??
yeyote wa kusaidia tafadhali.
yeyote wa kusaidia tafadhali.
Ugonjwa unaoitwa " kidney Stone " je kwa Kiswahili ni Ugonjwa gani huu??
yeyote wa kusaidia tafadhali.
Ugonjwa unaoitwa " kidney Stone " je kwa Kiswahili ni Ugonjwa gani huu??
yeyote wa kusaidia tafadhali.
duuu walikwambia chanzo ni nini I mean ni vitu ulikula vikasababisha au kuna organ zingine zikifail zinasababisha? share na cc pleaseNi ugonjwa wa kumuomba Mungu akuepushie, ,,me miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu makali,,,baada ya utra sound nikakutwa na ilo tatizo,,, nilipewa dawa ya maji DISODIUM ,,,,sasaivi najitaidi kunywa maji kwa siku almost lita tano, kidogo nna unafuu,,nataka nikacheki tena kama yalitoka kwa njia ya mkojo yote au la,,, maana nilikojoa uchafu mweupe dizaini kama limesagika jiwe
Me hata Najua mkuu,,,ila asilimia kubwa ni vyakula tunavyokula nadhani,,,,,uki-Google utapata ufafanuzi nini huwa kinachangiaduuu walikwambia chanzo ni nini I mean ni vitu ulikula vikasababisha au kuna organ zingine zikifail zinasababisha? share na cc please