Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,179
- 1,579
Samahani ndugu zangu, hii ni hurka tu ya baadhi yetu wanadamu kuwa; tukianza jambo huwa hatuna amani mpaka tulimalize.
Sisemi hivi kama njia ya kuwadharau wale wengine ambao wao hata wasipomaliza kile walichokianza huwa hawajali kitu!
Ila ni vizuri hata wao wasituzarau sisi tunaojari.
Cha msingi hapa ni ule umuhimu wa jambo lenyewe, je tunaweza kulipuuza?
Tunaweza kujifanya hatuuoni umuhimu wake?
IPO au Haipo?
Sisemi hivi kama njia ya kuwadharau wale wengine ambao wao hata wasipomaliza kile walichokianza huwa hawajali kitu!
Ila ni vizuri hata wao wasituzarau sisi tunaojari.
Cha msingi hapa ni ule umuhimu wa jambo lenyewe, je tunaweza kulipuuza?
Tunaweza kujifanya hatuuoni umuhimu wake?
IPO au Haipo?