cold water
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 175
- 618
Wat do you meanLabda inahusiana na kupata RIP, sijui
Karatasi maalum ya kutengenezea misokoto hasa bangi na jamii yake!Naomba kujua hiki ni nini nimekuta kwenye begi la mpenzi wangu.
OkAnavuta bange za kimya kimya
Begi la mpenzi wako liko google? Any way mwana anaishi na Medication japo Chai yako ni ya baridi.Naomba kujua hiki ni nini nimekuta kwenye begi la mpenzi wangu.
Ninyi bangi zenu mnasokotea kwenye makaratasi ya magazeti ya kuokota.Naomba kujua hiki ni nini nimekuta kwenye begi la mpenzi wangu.
Kwa ufupi ni kwamba, demu wa jamaa ni mvuta bangi mana ana zana zinazotumika kusokotea bangi.Mbona picha inasema ni screenshot
Mtoa mada ni manzi 🤭Kwa ufupi ni kwamba, demu wa jamaa ni mvuta bangi mana ana zana zinazotumika kusokotea bangi.
Eh bc ni kamzozo, demu wangu aliwahi kuniambia ety nianze kuvuta bangi mana anasikia men wavuta bangi wana show heavy 😂 nikaona Huyu demu anataka kuniuaMtoa mada ni manzi 🤭
Naona Unjiro unakutoka umeanza kuelewa lugha zetu za Ngarenaro.Mwanzo mzuri.Mtoa mada ni manzi 🤭