Naomba kujua hiki ni nini?

cold water

Senior Member
Oct 6, 2021
175
618
Naomba kujua hiki ni nini nimekuta kwenye begi la mpenzi wangu.
 

Attachments

  • Screenshot_20231227-184055.jpg
    Screenshot_20231227-184055.jpg
    25.4 KB · Views: 2
Usiwe na wasi wasi ni vikaratasi flani hivi havina shida unaweza kugoogle tu mwenyewe hilo hilo jina utaona kazi yake
 
Kama wewe mtoa mada n mwanamke, hongera sana, huyo chalii ni fyade.
Kama wewe mtoa mada ni mwanaume, pole sana, huyo manzi ako kama anakila dry bila kushabu bas jua kuna mwamba anakusaidia maana we na u sober wako hutaweza kukuna kipele iliowashiwa kisheri.
 
Mbon picha haina uhalisia kama umeipiga kwa simu yako em tupia hicho kilichokua ndani ya begi tukione vizuri usikute umechangany na zile big G za batook
 
Naomba kujua hiki ni nini nimekuta kwenye begi la mpenzi wangu.
Ninyi bangi zenu mnasokotea kwenye makaratasi ya magazeti ya kuokota.

Wenzenu ulaya bangi zao ama mishasha wanasokotea karatasi special, ndiyo hizo Rizla.

Yaani ni bunda zima la karatasi za misokoto.
 
Back
Top Bottom