FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Si kweli... Jerry ni mkandarasi na recently ana site ya barabara huko MtwaraNasikia ni Muajililiwa huko Dangote Mtwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli... Jerry ni mkandarasi na recently ana site ya barabara huko MtwaraNasikia ni Muajililiwa huko Dangote Mtwara
Huu msemo unamsema kichaa au unapenda tu kuusema
Kweli mkuu nimeona ugomvi ulipoanzia Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe! - JamiiForumsAlimkwaruza mbwa aliyekuja kuwa mwenye mbwa kumbe mwenye mbwa anaweka visasi.
Kumbe ni ugomvi wa siku nyingi angalia hapa Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe! - JamiiForumsAnamsema kichaa direct
Kumbe ni ugomvi wa siku nyingi angalia hapa Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe! - JamiiForums
Alikuwa anampambe wake mgambo,anayemfungulia mlango wa gari na kumfunga mkanda,huyo ndio akatae cheo?Hata mimi nimeshangaa sana, mwanaccm kukataa cheo!!!!!!
Cha ajabu aliendelea na kampeni za uchaguzi nahisi aliumia zaidi kukosa ubunge kuliko kufiwa na baba yakeJerry Slaa, alipata pigo sana hasa kwa kufiwa na Babake mzazi kwenye ile ajali ya helkopter ilomuua Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe. Kumbuka Captain Slaa, alikuwa Babake Jerry Slaa.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha mbavu zinaumaCha ajabu aliendelea na kampeni za uchaguzi nahisi aliumia zaidi kukosa ubunge kuliko kufiwa na baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kapewa ubaloziLast time nilimwona akiwa na jamaa mmoja mwenye asili ya mpemba/oman
Hivi ni Silaaa au SlaaJerry Slaa, alipata pigo sana hasa kwa kufiwa na Babake mzazi kwenye ile ajali ya helkopter ilomuua Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe. Kumbuka Captain Slaa, alikuwa Babake Jerry Slaa.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja waje wataalamu wa spelling na majinaHivi ni Silaaa au Slaa
Nina maana nzuri ikiwa Slaa atakuwa mbuluNgoja waje wataalamu wa spelling na majina
Ni Meya aliyevunja rekodi ya kuwadhulumu Mama lisheWakuu ni muda mrefu huyu kijana wetu hajasikika tangu utawala huu uingie madarakani, nafahamu pia hapo wakati waJK hawakuwa na uhusiano mzuri, tatizo langu ni kwamba hata kama amestaafu siasa basi angalao tungesikia anafanya biashara zake au yupo nje ya nchi n.k., tunaomba anayefahamu atujuze ili tuweke kumbukumbu vizuri
Updates
Wakuu nashukuru kuna mdau ametukumbusha Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe! - JamiiForums
Na Mimi ngoja nikuongezee, wenye hekima wakiwa kimya wapumbavu huongezeka.Labda nikuongezee na hii quote nyingine inasema "wenye akili wanapokaa kimya wajinga huongezeka" hapo vipi mkuu
Kwani ni engineer?Ana kampuni yake ya ukandarasi na anapata tenda za serikali..
Yuko busy site na anapata hela nyingi tu.. Siasani sijui kama atarudi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu alipoteza ubunge kwa Mwita ambaye Sasa kaunga mkono juhudi.Sept-Nov 2015 Ni Mwaka ambao Jerry hatousahau
Alipoteza Umeya
Akapoteza Udiwani
Akashindwa Ubunge
Akapoteza Baba Kwenye ile Ajali ya Deo Filikunjombe
Si kweli... Jerry ni mkandarasi na recently ana site ya barabara huko Mtwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo unakusaidia nini? Acha uongo kijanaunataka tuweke salary slip yake hapa au?
Duh!! AiseeAlikuwa anampambe wake mgambo,anayemfungulia mlango wa gari na kumfunga mkanda,huyo ndio akatae cheo?