Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,553
- 9,530
Wewe hakuna mwanaccm mwenye kukataa uteuzi Jerry anajua kabisa alitukana mamba bila kujua safari yake kuna mito ya kutoshaHuyu yupo Dar Es Salaam, na bado yupo katika "kamati kuu ya wana lumumba" na ni mjumbe wa NEC TAIFA.
Kwasasa anafanya shughuli zake za kibiashara (baadhi alizoachiwa na marehem mzee wake R.I.P Mzee Slaa na zakwake mwenyewe) pamoja na kufanya kazi za lumumba.
Ana akili sana kukaa kimya, angekua muongeaji ongeaji hovyo basi angekua kaishatumbuliwa zaman. Sambamba na kutokubali cheo chochote kama vile ukuu wa mkoa n.k (angejichafulia jina).