Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Wakuu baada ya kuwasalimia kwa kutanguliza uzalendo kama tunavyohimizwa na viongozi wetu, ningeomba kuiba muda wenu kidogo.
Nikiwa kama kijana wa nchi hii nafuatilia siasa zetu ili kufahamu mustakabali wa Taifa letu , siasa ndio msingi wa kila kitu katika nchi hii , wanasiasa ndio waamuzi wa mambo yote yanayotendwa kwenye nchi hii.
Ningependa kumfahamu Ndugu Kheri James , Mwanasiasa chipukizi .
Natanguliza shukrani .
Nikiwa kama kijana wa nchi hii nafuatilia siasa zetu ili kufahamu mustakabali wa Taifa letu , siasa ndio msingi wa kila kitu katika nchi hii , wanasiasa ndio waamuzi wa mambo yote yanayotendwa kwenye nchi hii.
Ningependa kumfahamu Ndugu Kheri James , Mwanasiasa chipukizi .
Natanguliza shukrani .