LAMOLAMO
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 246
- 225
TumeshaonaElimu za kukariri kunawasumbua mlio wengi, wangapi walikuja na ma CV makubwa na kazi zikawashinda. Nyinyi ndo mlisema JPM hakuwahi kuwa mwanasiasa hivyo urais hauwezi sasa angalia kama bado uraisi hauwezi.