Kapilipoint
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 381
- 343
Kwa hiyo UVCCM ndio INATAKA kina Bashite? Ahaaa ccm oyeee
Kheri James mwaka 2008/ 2009 alikuwa kikosi cha JKT Makutupola,, ambapo HAKUMALIZA mafunzo na kuondoka hapo,, Nijuavyo mimi huyu alichukuliwa na TISS na pia ni ndugu wa ukoo wa Magufuli na kiongozi mmoja wa juu wizara ya fedha kama sikosei ni somebody "James"
Nani kakupa idhini ya kuzungumzia watanzania wengine?!Watanzania wa leo tushaachana na habari za ma CV yenu, tunachohitaji ni performance tu. CV peleka vyuoni
Elimu za kukariri kunawasumbua mlio wengi, wangapi walikuja na ma CV makubwa na kazi zikawashinda. Nyinyi ndo mlisema JPM hakuwahi kuwa mwanasiasa hivyo urais hauwezi sasa angalia kama bado uraisi hauwezi.shule za kata ni shida, CV ndo itaonyesha performance yake huko alikopita
Ni zamu ya kanda ya ziwa kula keki ya taifaKwani huyu naye ni wa kanda ya ziwa ?
Kutoa matamko ndiyo kuweza?Elimu za kukariri kunawasumbua mlio wengi, wangapi walikuja na ma CV makubwa na kazi zikawashinda. Nyinyi ndo mlisema JPM hakuwahi kuwa mwanasiasa hivyo urais hauwezi sasa angalia kama bado uraisi hauwezi.
Watanzania wa leo tushaachana na habari za ma CV yenu, tunachohitaji ni performance tu. CV peleka vyuoni
ya mbowe umeshaipata,maana kwenye kipengele cha elim huwa hakielewekiWakuu baada ya kuwasalimia kwa kutanguliza uzalendo kama tunavyohimizwa na viongozi wetu, ningeomba kuiba muda wenu kidogo.
Nikiwa kama kijana wa nchi hii nafuatilia siasa zetu ili kufahamu mustakabali wa Taifa letu , siasa ndio msingi wa kila kitu katika nchi hii , wanasiasa ndio waamuzi wa mambo yote yanayotendwa kwenye nchi hii.
Ningependa kumfahamu Ndugu Kheri James , Mwanasiasa chipukizi .
Natanguliza shukrani .
Ukiwa ccm ni shida yaani hatamlawiti mnamsifia ni hatariElimu za kukariri kunawasumbua mlio wengi, wangapi walikuja na ma CV makubwa na kazi zikawashinda. Nyinyi ndo mlisema JPM hakuwahi kuwa mwanasiasa hivyo urais hauwezi sasa angalia kama bado uraisi hauwezi.
Hilo siyo tatizo! Ili mradi tu anamudu majukumu yake!Tena katikati ya jiji la Mwanza
MTU akiwa huko, anabaki huko maisha yote hata kama kimwili anaweza kuhama!HIVI KWANINI MATISS WENG NI CHICHIEMU?
HUYU NI TISS KWA UFAHAMU WANGU
Unamfahu Dotto James Mabula? ...paymasterMtoto wa Angelina Mabula
HIVI KWANINI MATISS WENG NI CHICHIEMU?
HUYU NI TISS KWA UFAHAMU WANGU
Kijana unaropoka sana hata kama unamjua sana. It was not necessary to mention about his involvement with TISS.Kheri James mwaka 2008/ 2009 alikuwa kikosi cha JKT Makutupola,, ambapo HAKUMALIZA mafunzo na kuondoka hapo,, Nijuavyo mimi huyu alichukuliwa na TISS na pia ni ndugu wa ukoo wa Magufuli na kiongozi mmoja wa juu wizara ya fedha kama sikosei ni somebody "James"