murusagamba
Member
- Sep 18, 2013
- 26
- 13
Wanaukumbi,
Naomba kwa yeyote anaefahamu asili ya wahangaza na neno hangaza maana yake nini?
Naomba kwa yeyote anaefahamu asili ya wahangaza na neno hangaza maana yake nini?
Majuzi niliandika humu jamvini kuomba kufahamishwa asili ya wahangaza wengine wamechangia kadri wanavyojua wengine wakaponda kwamba mie ni mtutsi najifanya mhangaza kiukweli mimi ni mhanagza wala hilo halina ubishi niliamua kuuliza hili suala la asili ya wahangaza ili niweze kufaham asili yangu kwasabau kuna mzee mmoja niliwahi kumuuliza kuhusiana na hili akaniambia kwamba neno hangaza lilitokana na neno ndkwangaje inasemekana zamani palikuwepo na mfame mmoja rwanda aliwafukuza watu wakorofi ambae inaonekana walikua wanatofautiana nae ndio akawaambia ndabangaje kwa maana kwamba amewafukuza ndio wakaja ngara kwahiyo niliuliza ili niweze kupata ufaham zaidi labda kuna wengine wanafaham zaidi khs wahangaza