miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
Habari za mda huu wapendwa? Poleni na majukumu.
Mimi nipo Dodoma ni mama kijacho wa miezi 2.5 hivyo nimepanga nianze kliniki katika kuumiza akili nianze huduma hii hospital ipi Kuna mtu akanishauri nianze hospital ya Benjamin mkapa iliyopo UDOM pia akanishauri Mungu akinijalia nijifungulie huko huko Benjamin Wana huduma nzuri.
Mimi bado sijafikia muafaka coz sijawahi kwenda kufanya huduma hapo Benjamin.
Naombeni mnisaidie kwa anayeifahamu vizuri hii hospital au ambaye ameshawahi kutibiwa pale mnipe sifa zake Kama huduma ziko pouwa kweli nianzie kliniki pale pia nijifungulie pale na Kama haziko pouwa naomba pia mnishauri hospitali gani nyingine nzuri kwa Dodoma kuanza kliniki na kujifungua.
Asanteni sana na Mungu awabariki kwa ushirikiano wenu
Mimi nipo Dodoma ni mama kijacho wa miezi 2.5 hivyo nimepanga nianze kliniki katika kuumiza akili nianze huduma hii hospital ipi Kuna mtu akanishauri nianze hospital ya Benjamin mkapa iliyopo UDOM pia akanishauri Mungu akinijalia nijifungulie huko huko Benjamin Wana huduma nzuri.
Mimi bado sijafikia muafaka coz sijawahi kwenda kufanya huduma hapo Benjamin.
Naombeni mnisaidie kwa anayeifahamu vizuri hii hospital au ambaye ameshawahi kutibiwa pale mnipe sifa zake Kama huduma ziko pouwa kweli nianzie kliniki pale pia nijifungulie pale na Kama haziko pouwa naomba pia mnishauri hospitali gani nyingine nzuri kwa Dodoma kuanza kliniki na kujifungua.
Asanteni sana na Mungu awabariki kwa ushirikiano wenu