Naogopa kufungiwa ... its confidential
Mfungwa achagui gereza bwana
investigation officers anae anza leo at the end of the month anaenda nyumbani na kama miln.1.2 hivi.....wasaidizi wachunguzi ni kama laki saba naaaa hivi...kazi kwako
sem2708 Katitima ocampo four The Boss mi naomba kujua hivi ukipata kazi PCCB kuna uwezekano wa kuacha kazi utakapoamua kuacha kuitumikia hiyo PCCB
Kuajiri vijana kama hawa wanao ongozwa na uchu wa pesa ni hatari kwa taasisi. Wanajali watapata nini hawafikirii wataifanyia nini taasisi.
Msijidanganye nyie....huwezi kuacha kazi tu kiholela labda uwe na kampuni yako binafsi!!
money oriented.
kuzuia rushwa ukala rushwa siyo?
Mavotah nyie naona hamjaelewa concern yangu hapa, kuna maneno huku mitaani kuwa hizi taasisi nyeti hata uhuru wako tuu unakuwa mdogo katika mambo flani flani. Nikijua hili ntaweza kukalukuleti risk whether niombe hizi nafasi ama lah!
Hapa swala si ujobless, Ni nini maisha baada ya kupata hiyo kazi kama ntapata nikiomba kiongozi.
Hata kama kuna mikataba kuna condition za kuivunja
Naomba kujua kiwango cha mshahara pccb,ngazi zote
Naomba kujua kiwango cha mshahara pccb,ngazi zote
Hivi viwango vipo hivi mpaka sasa hiv?degree tek hom kwa social science kama lak 6, uchum biashara na ugav na kilimo sheria na mahesabu ongeza elf 50 then ENGENEERs computer s na rarely course kama lak 8 mpaka 9 but ela ya nyumba unapewa kulingana na cheo!
Hivi inawezekana mtu mwenye shida ya kusikia (poor hearing) kuajiriwa takukuruNaomba kujua kiwango cha mshahara pccb,ngazi zote