Naogopa kufungiwa ... its confidentialNaomba kujua kiwango cha mshahara pccb,ngazi zote
Ndio Mkuu ...sem2708 Katitima ocampo four The Boss mi naomba kujua hivi ukipata kazi PCCB kuna uwezekano wa kuacha kazi utakapoamua kuacha kuitumikia hiyo PCCB
Naomba kujua kiwango cha mshahara pccb,ngazi zote
sem2708 Katitima ocampo four The Boss mi naomba kujua hivi ukipata kazi PCCB kuna uwezekano wa kuacha kazi utakapoamua kuacha kuitumikia hiyo PCCB
Naomba kujua kiwango cha mshahara pccb,ngazi zote
Msijidanganye nyie....huwezi kuacha kazi tu kiholela labda uwe na kampuni yako binafsi!!
kuzuia rushwa ukala rushwa siyo?Juhudi zako na uthubutu wako pia, unaweza hata kuondoka na milioni kumi kwa mwezi bila kujali una cheo gani pale!
Sizinga namaana kwamba nimefanya kazi kwa miaka 10 na TAKUKURU mfano, halafu naamua kuacha kazi baada ya kupata sehemu nyingine. ni rahisi kufanya hivyo kwa hii taasisi. Si unajua ipo chini ya ofisi ya Rais.
Naogopa kufungiwa ... its confidential
Mavotah nyie naona hamjaelewa concern yangu hapa, kuna maneno huku mitaani kuwa hizi taasisi nyeti hata uhuru wako tuu unakuwa mdogo katika mambo flani flani. Nikijua hili ntaweza kukalukuleti risk whether niombe hizi nafasi ama lah!
Hapa swala si ujobless, Ni nini maisha baada ya kupata hiyo kazi kama ntapata nikiomba kiongozi.