Njoluma imejumuisha wilaya za; Njombe, Ludewa na Makete, kusini ya Iringa. Hata hivyo Mkoa unaitwa NJOMBE. na makao makuu yatanzia Pale block T, mahali ninapokamilishwa jengo NNSF. Njia ya Kuingi katka hoteli ya ARM; Njombe Mjini. barabara iendayo Songea.