Naomba kufahamu mahusiano ya Hawa watu na Sophia Simba

Ndugu huwezi kumchagulia mtu marafiki ß. JK angeruhusu Demokrasi ndani ya Chama leo hii CCM ingekuwa na muelekeo fulani na ingeendelea kuwa kimbilio la wanyonge.

Kwa makosa ya makusudi tuliyo amua kufanya 2015 Dodoma tuache tuteseke tu.
Mimi naomba wafukuzane wabskizwe wapenxi wa balimi hapo ndipo tutakapo funguka macho.​
 
Ndugu huwezi kumchagulia mtu marafiki ß. JK angeruhusu Demokrasi ndani ya Chama leo hii CCM ingekuwa na muelekeo fulani na ingeendelea kuwa kimbilio la wanyonge.

Kwa makosa ya makusudi tuliyo amua kufanya 2015 Dodoma tuache tuteseke tu.
Mimi naomba wafukuzane wabskizwe wapenxi wa balimi hapo ndipo tutakapo funguka macho.​
Yani tujaliwe kumbukumbu tuu
 
Jpm alikosea kwa makonda tena halikuwa kosa lake maana makonda alipata uteuzi toka enzi za jk ila taasisi ya urais haidanganywi na haikosei maamuzi ya jpm ni sahihi na yanapitia mchujo mkali na taarifa nyingi tena sahihi jpm go go go go tuko nyuma yako
 
Back
Top Bottom