Simba imewahi kufungwa Mara 5 mfulululizo na watani zao Yanga

CARDLESS

JF-Expert Member
Apr 2, 2017
7,824
15,878
Katika hali isiyo ya kawaida, Jamii imeaminishwa kuwa kama Yanga atashinda mchezo wa Jmosi dhidi ya Simba basi itakuwa ni mara ya kwanza kwa hawa Watani mmoja kufungwa mara 4 mfululizo.

Lakini Historia inaonesha Simba amewahi kuchapika mara 5 mfululizo bila sare yoyote ile na hapo game 1 Simba waliweka mpira kwapani ambapo inakuwa game ya 6 kuchapika.

Mechi hizi ni kama ifuatavyo.
1. 20/10/1990
Yanga 3-1 Simba
️ Makumbi Juma
️ Kipese
️ Sanifu Lazaro
Simba (️ Chumila)

2. 18/5/1991
Yanga 1-0 Simba
️ Said Sued.

3. 31/08/1991
Yanga 1-0
️ Said Sued Scud

4. 9/10/1991
Yanga 2-0 Simba
️ Athman China
️ Abubakar Sure Boy

5. 13/11/1991
Yanga 2-0 Simba (Simba waliweka mpira kwapani)

6. 12/4/1992
Yanga 1-0 Simba
️ Kenneth Mkapa

Kama kuna mtu anaona naongopa aweke Rekodi na matokeo ya hizo game na kama kuna game yoyote katika kipindi hilo Simba aliwahi kutoa Sare.
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Jamii imeaminishwa kuwa kama Yanga atashinda mchezo wa Jmosi dhidi ya Simba basi itakuwa ni mara ya kwanza kwa hawa Watani mmoja kufungwa mara 4 mfululizo.

Lakini Historia inaonesha Simba amewahi kuchapika mara 5 mfululizo bila sare yoyote ile na hapo game 1 Simba waliweka mpira kwapani ambapo inakuwa game ya 6 kuchapika.

Mechi hizi ni kama ifuatavyo.
1. 20/10/1990
Yanga 3-1 Simba
️ Makumbi Juma
️ Kipese
️ Sanifu Lazaro
Simba (️ Chumila)

2. 18/5/1991
Yanga 1-0 Simba
️ Said Sued.

3. 31/08/1991
Yanga 1-0
️ Said Sued Scud

4. 9/10/1991
Yanga 2-0 Simba
️ Athman China
️ Abubakar Sure Boy

5. 13/11/1991
Yanga 2-0 Simba (Simba waliweka mpira kwapani)

6. 12/4/1992
Yanga 1-0 Simba
️ Kenneth Mkapa

Kama kuna mtu anaona naongopa aweke Rekodi na matokeo ya hizo game na kama kuna game yoyote katika kipindi hilo Simba aliwahi kutoa Sare.
Yanga 10 - 1 simba

Nb : waandishi wengi wa Habari Miaka ya 90 walikuwa hawajazaliwa au walikuwa watoto wadogo .
 
Yanga alifungwa na Simba miaka mitano mfululizo toka mwaka 1976 ikiwemo kipigo Cha historia goli 6-0 mpaka mwaka 81 walipojikomboa kwa goli la Rashid Hanzuruni
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Jamii imeaminishwa kuwa kama Yanga atashinda mchezo wa Jmosi dhidi ya Simba basi itakuwa ni mara ya kwanza kwa hawa Watani mmoja kufungwa mara 4 mfululizo.

Lakini Historia inaonesha Simba amewahi kuchapika mara 5 mfululizo bila sare yoyote ile na hapo game 1 Simba waliweka mpira kwapani ambapo inakuwa game ya 6 kuchapika.

Mechi hizi ni kama ifuatavyo.
1. 20/10/1990
Yanga 3-1 Simba
️ Makumbi Juma
️ Kipese
️ Sanifu Lazaro
Simba (️ Chumila)

2. 18/5/1991
Yanga 1-0 Simba
️ Said Sued.

3. 31/08/1991
Yanga 1-0
️ Said Sued Scud

4. 9/10/1991
Yanga 2-0 Simba
️ Athman China
️ Abubakar Sure Boy

5. 13/11/1991
Yanga 2-0 Simba (Simba waliweka mpira kwapani)

6. 12/4/1992
Yanga 1-0 Simba
️ Kenneth Mkapa

Kama kuna mtu anaona naongopa aweke Rekodi na matokeo ya hizo game na kama kuna game yoyote katika kipindi hilo Simba aliwahi kutoa Sare.
Ila ile 3-1 na lile goli la Ken Mkapa 1-0 yalikuwa matamu sana.
 
Yanga kuifunga Simba ni mafanikio makubwa kwao. Wanayalipia hadi mabango, ni jambo la kipekee. Wakati Simba inawaza kuwa giant Africa ili kuendelea kumpa sababu Yanga kuufurahia ushindi pale wanapocheza na giant.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom