Naomba kufahamu kuhusu Puto (Hot air Ballon)

Gluk

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,856
2,953
Nimekuwa nikiona ballon katika hifadhi hususani Ruaha ila kuna mengi ningependa kujuzwa kuhusu, inatengenezwa na nini, na ule moto unaowaka chini ni gesi au mafuta na je haliwezi kutumika kusafirishia watu kama yalivyo magari hususani katika miji yenye misongamano ya watu kama Dar.

Wajuzi wa hiziputo ballon naombeni kufahamishwa zaidi ili tujifunze zaidi.
 
Nimekuwa nikiona ballon katika hifadhi hususani Ruaha ila kuna mengi ningependa kujuzwa kuhusu, inatengenezwa na nini, na ule moto unaowaka chini ni gesi au mafuta na je haliwezi kutumika kusafirishia watu kama yalivyo magari hususani katika miji yenye misongamano ya watu kama Dar.

Wajuzi wa hiziputo ballon naombeni kufahamishwa zaidi ili tujifunze zaidi.
Hapo kwenye kusafirisha watu kama Dar na hizi foleni ni pointi.
Sema tu zikiwa nyingi kugongana ni rahisi maana nafikiri kukata kona sio sharp kama raum.
 
Mule kuna hewa ya helium, ikipata joto(density yake inakua ndogo kuliko ya hewa) inapaa kwenda juu ndo inalinyanyua hilo dude
Umeongea kisomi kabisa japo sina uhakika ila unamaanisha helium is less denser than air au siyo!!!?
 
Back
Top Bottom