Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,214
Huyu jamaa ni Kiongozi wa miaka mingi sana wa bendi ya Zaiko langalanga Nkolomboka (chuo cha wanamuziki wa congo), hii ni kwa sababu almost 95% ya wanamuziki wote wenye mafanikio nchini Congo wamepitia kwenye bendi hii.
Je, Mtu huyu ni nani na amewezaje kudumu kwenye game bila kutetereka kwa miaka yote hiyo?
Nakala : Lukas Mobutu