Naomba kufahamu kuhusu Nokia Lumia

Naomba kufahamu kuhusu Nokia Lumia

Feiaidan

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
237
Reaction score
130
Habari wapendwa!

Hivi Windows Phones(Nokia Lumia) nazo zina clones zake kama ilivyozoeleka kwenye Android Phones kama Samsung etc?

Nnampango wa kuchukua Nokia Lumia once, ila sifahamu kama kuna Clones zake na Jinsi ya kuzigundua.

Asante.
 
hakuna clone ya lumia labda iwe na umbo la lumia na software ya ndani iwe android
 
hakuna clone ya lumia labda iwe na umbo la lumia na software ya ndani iwe android

Asante.

Na unahisi hizi Lumia zinakidhi mahitaji kama Android Phones zilivyo?
Maana nimekuwa nikitumia Android Phones, na sijawahi kuzigusa hizi Lumia.

Unahisi ziko poa, au ni bora nibaki Android Phones?
 
Asante.

Na unahisi hizi Lumia zinakidhi mahitaji kama Android Phones zilivyo?
Maana nimekuwa nikitumia Android Phones, na sijawahi kuzigusa hizi Lumia.

Unahisi ziko poa, au ni bora nibaki Android Phones?

inategemea na matumizi yako na apps zako unazotumia. why usimtafute mtu mwenye lumia ukaichezea kidogo uangalie?
 
mimi nishawahi tumia lumia, ina apps zote smartphones na kuzidi, sina uzoefu na androids phones,,,pia katika store kuna apps nyiiingi ushindwe mwenyewe tu. kiufupi sijawahi juta kutumia lumia kwani hata nisipokua na laptop kazi zangu nafanyia kwa hii simu.
 
Jamani ningependa mnijuze bei ya lumia 625 au lumia 630 naiitaji niinunue moja wapo, nipo tanga natanguliza shukulani pia na sifa za hizo sim kama hamtojari.
 
Asante.

Na unahisi hizi Lumia zinakidhi mahitaji kama Android Phones zilivyo?
Maana nimekuwa nikitumia Android Phones, na sijawahi kuzigusa hizi Lumia.

Unahisi ziko poa, au ni bora nibaki Android Phones?

Nilishawahi kutumia kipindi cha nyuma, kwa kweli sikuipenda hata kidogo. I'd chose something else over windows phone.
 
Nilishawahi kutumia kipindi cha nyuma, kwa kweli sikuipenda hata kidogo. I'd chose something else over windows phone.

ungetueleza sababu zipi zilizokufanya usiipende labda ungesaidia kueleweshana zaidi.
 
Mie nisaidieni kujua bei ya tablet ya tecno g9 na uwezo wake ktk kurun internet!
Nashukuru sana.
 
Back
Top Bottom