Kwa hiyo wewe umejuinga JF ukiwa form 4....Mimi nimemaliza form six na sasa hivi nataka kusomea biomedical engineering ila sina ufahamu zaidi juu ya hiyo course na ajira zake kwahiyo mwenye ufahamu naomba anielekeze tafadhali
Hapana nikiwa form 5Kwa hiyo wewe umejuinga JF ukiwa form 4....
Ndo nimepata hivyoZaidi ya division 1 ya point tano 5, usihangaike.
Ndo nimepata hivyo
Ukichaguliwa kwa kozi hiyo nitafute, kuna jamaa yangu yuko Muhas pale anaweza kukupa muungozoNdo nimepata hivyo
AiseeUkichaguliwa kwa kozi hiyo nitafute, kuna jamaa yangu yuko Muhas pale anaweza kukupa muungozo
Unajua yanayo wakuta watu wa petrolium?Kama kaka yako naushauri usisome hii kozi unless uwe na coneksheni au umetokea chato.Mimi nimemaliza form six na sasa hivi nataka kusomea biomedical engineering ila sina ufahamu zaidi juu ya hiyo course na ajira zake kwahiyo mwenye ufahamu naomba anielekeze tafadhali
Nakushauri ukasome, kwa sasaivi biomedical engineers sio wengi kwa iyo fursa zipo, na wanalipwa poa
Kuweni na huruma kwa mwenzenu.Ni kozi ya engineering bora kati ya zote kwenye soko la ajira la ndani na nje ya nchi