Nashukuru mkubwa lakini ningependa kujua kozi zaidi ya mojaDiploma ya Nursing
Nipe ufafanuzi kidogo mkuu according na hiyo Nursing kama inawezekana kwa utaratibu wa sasaKozi zipo nyingi..ila pia inabidi hiyo div three lazima iwe ya kwenda chuo
Mkuu chuo na College watu wanaingia kwa pointi na sio division. Inabidi kujua masomo ya combi umepiga vipi, vinginevyo hutapata ushauri mzuri.Habari za kazi na majukumu mbalimbali wana jukwaa naomba kufahamu ikiwa form six amepata division three kwa comb ya CBG anaweza soma course zipi kwa ngazi ya stashahada naomba msaada wenu
Kwa matokeo hayo una point 5 hata chuo kikuu waweza omba. Hebu ulizia SUA kwani CBG inaendana sana na kilimo.Matokeo yako hivi GEOGR=D,CHEMISTRY=D,BIOLOGY=E NA BAM=F
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako ngoja nifuate mwongozo wakoKwa matokeo hayo una point 5 hata chuo kikuu waweza omba. Hebu ulizia SUA kwani CBG inaendana sana na kilimo.
Unaweza pia kuangalia TCU Admission Guide ya Mwaka wa Jana utaona degree zinazo endana na hiyo combi kama bado unataka diploma angalia Admission Guide ya NACTE ya mwaka jana kwenye website yao.
Chuo kikuu hapa utapataMatokeo yako hivi GEOGR=D,CHEMISTRY=D,BIOLOGY=E NA BAM=F
Nashukuru sana mkuu ngoja nianze kujipangaMbona degree unasoma kwa hayo matokeo kijana wangu!