Tamati
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,085
- 1,956
Nimekuwa muhanga wa kukopesha watu hela ila silipwi kwa wakati na wengine hawalipi na kuamua kukaa kimya, nachoka kuwadai kwani wanakaa kimya ninapowadai, wengine wanamua kubadili namba.
Mwaka 2016, nilikopesha mtu hela na akaahidi kunilipa baada ya muda fulani, alinilipa kidogo halafu nyingine akagoma na akabadili namba maana yupo mkoani, nikafanya juhudi za kumtafuta nikashindwa.
Mwaka 2017, mwishoni nikamkopesha mtu mwingine tena aliniahidi kunilipa baada ya muda fulani, alinilipa nusu mwishoni mwa mwaka jana baada ya kumdai kwa nguvu sana, sasa imebaki nusu namdai hataki kunijibu sms zangu, wala kupokea simu.
Nafikiria kutokopesha watu ovyo ovyo ila roho inanisuta, mbinu gani mnazotumia kudai watu wa namna hii? Tupeane uzoefu wa kukabiliana na jambo.
Mwaka 2016, nilikopesha mtu hela na akaahidi kunilipa baada ya muda fulani, alinilipa kidogo halafu nyingine akagoma na akabadili namba maana yupo mkoani, nikafanya juhudi za kumtafuta nikashindwa.
Mwaka 2017, mwishoni nikamkopesha mtu mwingine tena aliniahidi kunilipa baada ya muda fulani, alinilipa nusu mwishoni mwa mwaka jana baada ya kumdai kwa nguvu sana, sasa imebaki nusu namdai hataki kunijibu sms zangu, wala kupokea simu.
Nafikiria kutokopesha watu ovyo ovyo ila roho inanisuta, mbinu gani mnazotumia kudai watu wa namna hii? Tupeane uzoefu wa kukabiliana na jambo.