Naomba kufahamishwa kuhusu toyota brevis 2500cc

Hii mkuu siyo ya kununua kabisa inakula mafuta sana ikitaidi km 8 lth 1! Hapo haijaanza kuchoka halafu kama mtu wa kuuza mbeleni itakusumbua last ina tatizo la engine kwa dodosa za kijiweni! Nakushauri tafuta gari walau ya "cc 1300-2000! Im stand to be corrected!
Vipi alphard toyota cc2400 ulaji wa mafuta
 
Habarini za jioni wapendwa,

Mmoja kwa moja bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada.

Naomba mwenye uelewa kuhusu TOYOTA BREVIS yenye cc 2490 aniambie inakulaje mafuta?

Yaani nataka kujua lita moja ya mafuta inaenda km ngapi?

Ahsanteni wapenzi

View attachment 706812
Tafuta inayokula maji,magari yote yametengenezawa yale mafuta ili yaweze kwenda ,sijajua
 
Dada kwa ist ukisema ni ndogo uta ua engine au haliwezi kwenda mbali nakukatalia,binafsi I.s.t nime wahi toka nayo msumbiji mtopweshi hadi arusha na ilikua kipindi cha mvua za masika kama sasa hivi nili tembea siku siku mbili lakini nikipumzika nnjiani hadi dar nikapoaa siku mbili tena natembea kuingia chuga,sikupata breack down yoyote mpaka narudi msumbiji
 
427703.jpg
Kalanga Brevis 2500cc inabwiya mafuta
mbona kuna gari nzuri tu za cc chini ya 1500 zikupa lita 1 kwa km18?
Brevis ni la kupasua bara na siku hizi kuna limit speed mwisho 50km halifai
km upo mjini unajipanga foleni kwa km 8 lita 1 lazima litakula lita 1 kwa 5km foleni
ndioyangu hayo
Gari linakunywa mafuta, halinywi supu.
Kunywa mafuta ndio jadi ya gari
 
ni

mekuelewa
km kubwiya na kunywa ni sawa
kalagabaho chaguo ni lako Mama
Kubwia umelitoa wapi we mwali?
Wanaume wanaongelea kunywa mafuta we kigoli unaleta habari za kubwia...
Kwani umesikia ni "unga" huo?
 
Gari inategemea na unapenda nini.

Unaponunua gari kama brevis, mark X, GX 110 , Lexus GS, LS na gari zinazofanana na hizo ambazo injini zake CC inaanzaia 2500 plus

Kuna faida kadhaa utapata

1. Luxury - gari hizo zote zina comfort, Safety ya juu kama ukipata ajali.

2. Injini ina power kubwa, sio tu ya ku overtake na kukimbia, lakini gari inakuwa stable barabarani, gari inatulia na nzito. Inakuwa inamudu barabara complex kidogo, milima nk nk

Tatizo ni moja tu na si tatizo la gari husika ni Tatizo la Masikini sisi. (limited financial)

-Gari inakuwa na unywaji wa mafuta wa juu kidogo kulinganisha na gari ndogo kama Vitz, IST, Porte nk

Sasa hivi Vigari vinavyokunywa Mafuta vizuri. Raha yake na faida ni hapo tu kwenye Mafuta. Hususani ukiwa huna uchumi mzuri lakini Pia pengine ni Cheap kufanya Mantainance /Service.

Lakini hizi gari ndogo Vitz, Porte, IST na ndugu zao wote. Unakosa vitu kadhaa

1. Havina comfort. Sio luxury ni sawa na kulalia Godoro la bei nafuu kabisa linaloumiza mgongo wakati mwenzio analalia Tanform Arusha tena ya Spring

2. Hazina power ya kutosha, kuhimili complex roads, unaweza ingia hata kwenye tope dogo tu usitoke. Lakini hazitulii barabarani kulinganisha na hizo za injini kubwa.

3. Safety yake ni ndogo, ukipata ajali unakunjwa kama karatasi lakini mifumo mingine pia ya kiulinzi inakuwa sio advanced

Mwisho wa siku ni uchaguzi wa mnunuzi nini unataka. Kutokana na gari husika.

Huwezi kulinganisha Raha ya Crown dhidi ya Raum

Kazi ni kwako binafsi bora nipambane na mafuta ila niwe Comfortable

Well said...kuna magari mengine unaendesha huku roho inauma maana haupo comfortable kabisa....umaskini ndio inafanya watu wanaweka factor ya mafuta mbele kuliko factors nyingine zote.
 
Dada kwa ist ukisema ni ndogo uta ua engine au haliwezi kwenda mbali nakukatalia,binafsi I.s.t nime wahi toka nayo msumbiji mtopweshi hadi arusha na ilikua kipindi cha mvua za masika kama sasa hivi nili tembea siku siku mbili lakini nikipumzika nnjiani hadi dar nikapoaa siku mbili tena natembea kuingia chuga,sikupata breack down yoyote mpaka narudi msumbiji
Boss unahitaji umakini wa hali ya juu zaidi kusafiri na IST ktk High way.
Sio kwamba haiwezi, but ni nyepesi kwa speed kubwa
 
Nimeuza my new premio na naitafuta hiyo gari.... Brevis iko very comfortable ndani,no nzito iko stable hats ukipita kwenye rasta husikii nikama uko kwenye BMW au Benz ,iko fast gari zote huhitaji matunzo brevis hazina tatizo LA engine isipokua mafuta .kuchoka kwa gari kunategemea na matunzo yako tu kuifanyia maintenance kwa wakati that's all.
 
Jamani hebu msaada kwa gari toyota alphard 2400cc .Safari nyingi za dar mby na mby swanga.Naomba kujua fuel consumption yake ya mafuta,uimara wa gari,confortability yake,matatizo yake kwa ujumla kwa wanaoielewa.
Kumbuka nina choice ya Noah na hii gari but nahitaji kuijua gari hii vema kabla ya maamzi yote.
 
Gari inategemea na unapenda nini.

Unaponunua gari kama brevis, mark X, GX 110 , Lexus GS, LS na gari zinazofanana na hizo ambazo injini zake CC inaanzaia 2500 plus

Kuna faida kadhaa utapata

1. Luxury - gari hizo zote zina comfort, Safety ya juu kama ukipata ajali.

2. Injini ina power kubwa, sio tu ya ku overtake na kukimbia, lakini gari inakuwa stable barabarani, gari inatulia na nzito. Inakuwa inamudu barabara complex kidogo, milima nk nk

Tatizo ni moja tu na si tatizo la gari husika ni Tatizo la Masikini sisi. (limited financial)

-Gari inakuwa na unywaji wa mafuta wa juu kidogo kulinganisha na gari ndogo kama Vitz, IST, Porte nk

Sasa hivi Vigari vinavyokunywa Mafuta vizuri. Raha yake na faida ni hapo tu kwenye Mafuta. Hususani ukiwa huna uchumi mzuri lakini Pia pengine ni Cheap kufanya Mantainance /Service.

Lakini hizi gari ndogo Vitz, Porte, IST na ndugu zao wote. Unakosa vitu kadhaa

1. Havina comfort. Sio luxury ni sawa na kulalia Godoro la bei nafuu kabisa linaloumiza mgongo wakati mwenzio analalia Tanform Arusha tena ya Spring

2. Hazina power ya kutosha, kuhimili complex roads, unaweza ingia hata kwenye tope dogo tu usitoke. Lakini hazitulii barabarani kulinganisha na hizo za injini kubwa.

3. Safety yake ni ndogo, ukipata ajali unakunjwa kama karatasi lakini mifumo mingine pia ya kiulinzi inakuwa sio advanced

Mwisho wa siku ni uchaguzi wa mnunuzi nini unataka. Kutokana na gari husika.

Huwezi kulinganisha Raha ya Crown dhidi ya Raum

Kazi ni kwako binafsi bora nipambane na mafuta ila niwe Comfortable
Umeniondoa hofu nyingi sana mkuu.Ukweli napenda nipate toyota alphard 2500cc kwa ajili ya masafa marefu na mafupi lakn muda mwingi ninapouliza fuel consumption sijawahi pata mwenye kuielewa vema.But sasa nimepata mwanga mzuri.
 
Boss unahitaji umakini wa hali ya juu zaidi kusafiri na IST ktk High way.
Sio kwamba haiwezi, but ni nyepesi kwa speed kubwa
Sijajua hoja yako inakaa wapi mkuu, nimetoka n Vitz RS Old model (1NZ Engine) kutoka Dar hadi Sumbawanga na kurudi bila ya shida yeyote ile.
Au umakini gani ambao unamaanisha?
 
Ninatumia hio gari mwaka wa 2 sasa......haipitishi mwezi sijakatiza bagamoyo road kulenga arusha....nimenunua ikiwa na km 35000 mpaka sasa iko na km 129000 haijawahi nisumbua zaidi ya mumwaga oil....na njian sijawahi kuwa overtaken na gari ingine.....mafuta binafsi naona ni kawaida tuu
hamna alïyetaka kukukimbiza mkuu.....
 
Back
Top Bottom