Naomba kufahamishwa kuhusu One Acre Fund

Naomba kufahamishwa kuhusu One Acre Fund

kimeza

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
47
Reaction score
5
Tafadhalini wadau naomba kuuliza kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hii "one acre fund" sijui ni kampuni au NGO maana wane iita kwenye usaili ikiwa nimesahau kama lini nili apply kazi. naomba kuwasilisha.
 
hilo ni shirika lisilo la kiserikali linalosaidia wakulima wadogo wadogo kwa kuwapatia mafunzo ya kilimo cha biashara, kuwakopesha mbegu na mbolea na kuwatafautia mazao kwa mfumo wa vikundi wanafanya kazi Iringa vijijini, kilolo, ila makao makuu yao yapo iringa mjini Gangilonga linamilikiwa na wazungu katika kila idara japo malipo yao ni madogo na ya kinyonyaji makao mAkuu yao yapo kenya na nchi inakooperate ni pamoja na rwanda na wanafungua ethiopia
 
Tafadhalini wadau naomba kuuliza kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hii "one acre fund" sijui ni kampuni au NGO maana wane iita kwenye usaili ikiwa nimesahau kama lini nili apply kazi. naomba kuwasilisha.

wanashugulika na kupanda mahindi na ufuta vijijini...upuuzi mtupu hawana kitu wanakupotezea muda tu..Umri huo uende kusimamia kilimo cha ufuta huko kyabakari!!!!mmmxxx kaa mjini hapa tafuta hela tukupeleke kwenye bar za mademu wakali
 
hilo ni shirika lisilo la kiserikali linalosaidia wakulima wadogo wadogo kwa kuwapatia mafunzo ya kilimo cha biashara, kuwakopesha mbegu na mbolea na kuwatafautia mazao kwa mfumo wa vikundi wanafanya kazi Iringa vijijini, kilolo, ila makao makuu yao yapo iringa mjini Gangilonga linamilikiwa na wazungu katika kila idara japo malipo yao ni madogo na ya kinyonyaji makao mAkuu yao yapo kenya na nchi inakooperate ni pamoja na rwanda na wanafungua ethiopia

na sasa wanafungua branch mbeya na wameita nafasi ya "Expansions Manager" interview itaongozwa na wazungu tuu so hakuna kujuana karibu tuinue wakulima wetu wadogo! NB kuna jamaa anasema wanafanya mishe ya ufuta! Ni zaidi ya uongo.
 
Umejuaje kuwa sio graduate??

Wewe umespeculate in a confirmatory manner as if unajua kuwa ni graduate. The bottomline is: anaweza akawa graduate au asiwe graduate-probability can be put at 50% by 50%---binary response/answer
 
Back
Top Bottom