Naomba kufahamishwa hili kuhusu malipo ya automatic

Naomba kufahamishwa hili kuhusu malipo ya automatic

nelvine

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2015
Posts
1,113
Reaction score
1,878
Habari wanajamvi, naomba kuuliza, Siku hizi nmeona Malipo ya kimtandao ya Automatic.

Yaani inakuja tu Command ya Lipia Tsh kadhaa kupitia Selcom.

Ina ku-command kuingiza tu Namba Ya siri

Je, ii kitu ipoje na hili kuipata natakiwa nifanyaje?
 
Back
Top Bottom