Naomba kufahamishwa faida na hasara za kusoma diploma

Mm nashangaaga sanaa mtu anavyosema diploma wako vzr kuliko degree wakat mwl wa diploma ni degree holder wa hiyo fani

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
 
Huwa namshauri mtu apitie Diploma kama ana focus ya ndoto ya kuwa mtu fulani teari lakini kama bado hajui nani anataka aje kuwa Diploma haimfai
Mfano Kama unajijua kabisa wewe focus yako ni kuja kuwa Health Lab techinician una nafasi nzuri zaidi ya kutengeneza Carrier yako kama ukipitia Diploma
kwa kuwa utakuwa umeanzia kuijua fani kutokea level ya chini kabisa na utajenga exposure mapema kabisa nakujua a to z ya fani mapema....Kwa course zenye field unaanza kujenga connection mapema unapoenda field na kwa zenye rotation inakujengea experience ya kukumbana na real life situations za fani yako
Pia walimu wanaokufundisha ni ambao wanaijua fani vizuri

Pia diploma ni practical zaidi na ipo specific kwa vile vinavyokuhusu chukulia mfano mtu anataka kuja kusoma Telecom Engineering...kuna topic ngapi A level ambazo hazina uhusiano wowote na Telecom
Je kama yeye kipaji chake ni Telecom ana akafanya vizuri sana topics kama za Umeme na Electronics lakini ambazo zinahusu mechanics mfano zikamuangusha akafeli physics NECTA?anakuwa amepotea teari na ndoto yake imekufa

Ukitoka Diploma unaondoka na cheti mkononi ambacho kinakutambulisha popote pale kwamba una ujuzi fulani,elimu yako inaanza kukutengenezea kipato tofauti na A level

Unaanza kujua changamoto za elimu ya juu mapema

Pia hakuna gap kubwa sana kati ya Diploma na Degree hasa kwenye Engineering na Health Courses kwenye upande wa mishahara na hata majukumu mnayopewa kitu kimoja nilichogundua Degree sio watendaji wazuri ukifananisha na Diploma labda kwa kuwa Degree anasoma vitu vingi kwa wakati mmoja kumaster kimoja kimoja kwa umakini inakuwa ngumu
Sio Kweli,Ukisapoti Diploma ukaiponda Degree itakuwa maneno ya mkosaji au mtu asiyejiamini na Matokeo ya Form 6.

Umetoa mifano kadhaa, Ila ujue mtu akipitia Form 6 na kupata matokeo mazuri, Huyu wa Diploma anakuwa "Cha mtoto"

Eti unajifariji kuwa Degree hawajui sana Practical sasa wewe unataka ujue Practiacal na Mshahara mbuzi wako? unajisifu ujinga!

Kwani kweny Maisha unaangalia Hela au unaangalia Sifa za kijinga

NB; Mtu kama una uwezo,Pitia Advance.

Ukiweza Soma PCB, Kama Physics inakushinda Soma CBG.

NAONGEA FROM EXPERIENCE.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Mtu wa Diploma yupo nondo balaa anajua vitu vingi

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Nondo ndo nini wewe? Acha kudanganya watu? Nondo bila hela?


Nondo Mshahar mdogo?

Kwani ukisom Degree ukazingatia,Hauwezi kuwa Nondo?

Kwanza ukisoma Degree unakuwa umepunguza Miaka, Here i mean; Diploma ukisoma, unamaliza alafu huko mbeleni utakuwa unafikiria kwenda kusoma tena Degree

Kupoteza Muda tu.

Soma Advance kama unaweza,Pata Bachelor, Anza kula Maisha ya Hela kubwa wakato bado upo Kijana na Vyeo mbali mbali.


Soma Diploma, Pata Mshahara mdogo, kuwa chini ya Wenzio, anza kufikiria kwenda kusoma, Uzee huo hapo.

Am Signing out.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Nakuunga mkono kabisa kwenda advance ni kupoteza muda na rasilmali kwenye taaluma nenda college kisha university kwa maana ya certificate kisha diploma then chuo kikuu

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Miaka yote hiyo ya Certificate Dipolma inakusubiri wewe? Labda kama uwe Mwanamke.

Mwanaume mwenye akili,Nenda Advance,Soma,Faulu,Nenda Degree,Maliza,pata hela Saaafi

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Tulioshtukia tupo makazini kitambo na certificate tukapata mshahara na degree tumekuja kupata tukiwa makazini bila stress hakuna stress mbaya kama umesoma mpaka degree alafu hakuna ajira utazeeka kutafuta ajira kila mlango utaingia

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Sio Kweli,Ukisapoti Diploma ukaiponda Degree itakuwa maneno ya mkosaji au mtu asiyejiamini na Matokeo ya Form 6.

Umetoa mifano kadhaa, Ila ujue mtu akipitia Form 6 na kupata matokeo mazuri, Huyu wa Diploma anakuwa "Cha mtoto"

Eti unajifariji kuwa Degree hawajui sana Practical sasa wewe unataka ujue Practiacal na Mshahara mbuzi wako? unajisifu ujinga!

Kwani kweny Maisha unaangalia Hela au unaangalia Sifa za kijinga

NB; Mtu kama una uwezo,Pitia Advance.

Ukiweza Soma PCB, Kama Physics inakushinda Soma CBG.

NAONGEA FROM EXPERIENCE.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Imeeleweka hyo
Nondo ndo nini wewe? Acha kudanganya watu? Nondo bila hela?


Nondo Mshahar mdogo?

Kwani ukisom Degree ukazingatia,Hauwezi kuwa Nondo?

Kwanza ukisoma Degree unakuwa umepunguza Miaka, Here i mean; Diploma ukisoma, unamaliza alafu huko mbeleni utakuwa unafikiria kwenda kusoma tena Degree

Kupoteza Muda tu.

Soma Advance kama unaweza,Pata Bachelor, Anza kula Maisha ya Hela kubwa wakato bado upo Kijana na Vyeo mbali mbali.


Soma Diploma, Pata Mshahara mdogo, kuwa chini ya Wenzio, anza kufikiria kwenda kusoma, Uzee huo hapo.

Am Signing out.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
zamani kwenda kusoma certificate→diploma→degree. ilikuwa kwa mtu aliefeli(except waliochaguliwa vyuo vya ufundi na serikali) ukweli ni kuwa kama ujapita advance heshima yako kitaaluma ni ndogo,,viongozi wakubwa na academicians wanaoheshimika hapa TZ wote wamesoma advance..hata wakati wa selection vyuoni wanaanza na fresh nafasi zikibaki ndio wanaangalia diploma.pia ndio maana watu wa diploma ni vigumu kupata scholarship.
 
lkn pia wewe una D 4 umeenda kusoma diploma, mwenzio less say ana B+ zote kwenye comb yake mkipeleka vyeti kwa ajili ya interview utakuwa shortlisted waache B+? tuache kudanganya! tukubali tu kuwa diploma ni option na ni altenative pale mtu anapokua ameteleza lkn siyo ya kulinganisha na advance.
 
Na ukitaka kujua ukweli angalia selection za udsm zamani ilikua vigumu sana kudahili diploma holders! now wanachukua kwasababu ya uhaba na ushindani wa wanafanzi...pia muhimbili hata kama unaomba kupitia cheti cha diploma walitaka uwe umepitia advance..lakini ziko baadhi ya taasisi walikua wakiajiri fresh pekee(six to university)...huo ndio ukweli BUT NINATHAMINI MCHANGO WA DIPLOMA HOLDERS KATIKA MAENDELEO YA NCHI COZ NDIO WATENDAJI WAKUU.
 
Nenda diploma advance usenge tu, advance ishu ni kupata kozi uitakayo

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Huwa namshauri mtu apitie Diploma kama ana focus ya ndoto ya kuwa mtu fulani teari lakini kama bado hajui nani anataka aje kuwa Diploma haimfai

Mfano Kama unajijua kabisa wewe focus yako ni kuja kuwa Health Lab techinician una nafasi nzuri zaidi ya kutengeneza Carrier yako kama ukipitia Diploma

kwa kuwa utakuwa umeanzia kuijua fani kutokea level ya chini kabisa na utajenga exposure mapema kabisa nakujua a to z ya fani mapema....Kwa course zenye field unaanza kujenga connection mapema unapoenda field na kwa zenye rotation inakujengea experience ya kukumbana na real life situations za fani yako
Pia walimu wanaokufundisha ni ambao wanaijua fani vizuri

Pia diploma ni practical zaidi na ipo specific kwa vile vinavyokuhusu chukulia mfano mtu anataka kuja kusoma Telecom Engineering...kuna topic ngapi A level ambazo hazina uhusiano wowote na Telecom

Je kama yeye kipaji chake ni Telecom ana akafanya vizuri sana topics kama za Umeme na Electronics lakini ambazo zinahusu mechanics mfano zikamuangusha akafeli physics NECTA?anakuwa amepotea teari na ndoto yake imekufa

Ukitoka Diploma unaondoka na cheti mkononi ambacho kinakutambulisha popote pale kwamba una ujuzi fulani,elimu yako inaanza kukutengenezea kipato tofauti na A level

Unaanza kujua changamoto za elimu ya juu mapema

Pia hakuna gap kubwa sana kati ya Diploma na Degree hasa kwenye Engineering na Health Courses kwenye upande wa mishahara na hata majukumu mnayopewa kitu kimoja nilichogundua Degree sio watendaji wazuri ukifananisha na Diploma labda kwa kuwa Degree anasoma vitu vingi kwa wakati mmoja kumaster kimoja kimoja kwa umakini inakuwa ngumu
Umeongea vzuri

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Vip mkuu. Hv civil eng diploma. Unaeza pata mkopo??

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Intake hii kuna uwezekano wa kupewa mikopo,, shushushu kazn

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Sio Kweli,Ukisapoti Diploma ukaiponda Degree itakuwa maneno ya mkosaji au mtu asiyejiamini na Matokeo ya Form 6.

Umetoa mifano kadhaa, Ila ujue mtu akipitia Form 6 na kupata matokeo mazuri, Huyu wa Diploma anakuwa "Cha mtoto"

Eti unajifariji kuwa Degree hawajui sana Practical sasa wewe unataka ujue Practiacal na Mshahara mbuzi wako? unajisifu ujinga!

Kwani kweny Maisha unaangalia Hela au unaangalia Sifa za kijinga

NB; Mtu kama una uwezo,Pitia Advance.

Ukiweza Soma PCB, Kama Physics inakushinda Soma CBG.

NAONGEA FROM EXPERIENCE.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Hata sjakuelewa,,, hiz degree za online shida tupuuu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Sio Kweli,Ukisapoti Diploma ukaiponda Degree itakuwa maneno ya mkosaji au mtu asiyejiamini na Matokeo ya Form 6.

Umetoa mifano kadhaa, Ila ujue mtu akipitia Form 6 na kupata matokeo mazuri, Huyu wa Diploma anakuwa "Cha mtoto"

Eti unajifariji kuwa Degree hawajui sana Practical sasa wewe unataka ujue Practiacal na Mshahara mbuzi wako? unajisifu ujinga!

Kwani kweny Maisha unaangalia Hela au unaangalia Sifa za kijinga

NB; Mtu kama una uwezo,Pitia Advance.

Ukiweza Soma PCB, Kama Physics inakushinda Soma CBG.

NAONGEA FROM EXPERIENCE.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app

Mtu akipita form six na kufaulu wa diploma anakuwa cha mtoto kwa kipi?

Endelea kukariri kuwa watu wanalipwa kutokana na level ya elimu....technical issues watu wanalipwa kutokana na experience na kujua vtu sio kukariri kariri...
ndio mana mnaishia kuzunguka na bahasha mtaani

Nenda kaangalie DIT pale uone tofauti ya project zinazofanywa na Diploma na jinsi watu wanavyogombaniwa na makampuni...
 
Back
Top Bottom