Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,048
- 1,468
Wakubwaa..!
Samahani kwa yeyote anae fahamu bei ya Ndizi Tukuyu/Kiwira na utaratibu unaotakiwa kufuatwa ukitaka kununua.
Pia namna ya kusafirisha mpaka Dar es salaam nauli zinakuwaje, kodi pia anae fahamu kwa kina please naomba msaada.
Natanguliza shukrani.
Samahani kwa yeyote anae fahamu bei ya Ndizi Tukuyu/Kiwira na utaratibu unaotakiwa kufuatwa ukitaka kununua.
Pia namna ya kusafirisha mpaka Dar es salaam nauli zinakuwaje, kodi pia anae fahamu kwa kina please naomba msaada.
Natanguliza shukrani.