Naomba kuelimishwa

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
264
276
Shule zote zinautaratibu wa kupanga awamu za kulipa ada,mf miezi 3,4au6 unaambiwa ada ya mwaka ni kiasi fulani yani hapo washasisitiza ada ni ya mwaka yani yani miezi12,sasa ktk ada hiyo wanayosema mbona hawasemi tutakuwa na likizo wastani siku60+ambayo wangepunguza ada ya siku hizo za mapumziko?
 
Back
Top Bottom