Naomba kuelimishwa kwa hili

Naomba kuelimishwa kwa hili

Siri yangu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2023
Posts
1,849
Reaction score
3,756
45216.jpg

Hiki kinachoendelea kwenye taasisi zetu ni nani anafanya na anafanya kwa ajili ya nani ? Mbona mwanzo ajira zilikuwa zinatolewa nyingi sana hatukuona haya yakifanyika au kuna mabadiliko mimi ndio nimepitwa na wakati?

Nina ushahidi shemeji yangu mmoja alifuatwa hadi kwao akahojiwa na kurekodiwa kuwa aseme mama Samia ahsante kwa ajira hizi maana tumeteseka sana mtaani mama umekuja kutukomboa , je ni sahihi kufanya hivi kwa serikali?
 
Jobless Mimi ambae mpaka nazeeka sina ajira!! Mi naomba Mama samia anikumbuke kwa tsh million tano nianze ufugaji. wasaidizi wake mliopo humu jf nifikishieni taarifa zangu.
Sara zako na zitupiliwe mbali, hatuwezi kumnyenyekea muuaji wa taifa, ila mungu ni mwema leo nimefanikiwa kuona coment yako ya dhahabu maana nimezoea kuona like pekee.
 
Shalo acha roho mbaya kuniombea mabaya!!!!!!!
Nasubiri Maza anione hapa nipelekwe ikulu kupokea mpunga nipigie picha
Huo mpango siungi mkono, usije kuambiwa unapelekwa Ikulu kumbe unaenda kuuzwa maini+figo Saud arabia, labda kama huna husband usogee tuyajenge nikupatie mahera uachane na samuya.
 
Huo mpango siungi mkono, usije kuambiwa unapelekwa Ikulu kumbe unaenda kuuzwa maini+figo Saud arabia, labda kama huna husband usogee tuyajenge nikupatie mahera uachane na samuya.
Figo zangu hizi madaktari watazikataa wenyewe maana zinanuka alcohol...
Husband ninaye na hela nataka,,,,, acha tu mama anione hizo zako za masharti siziwezi
 
Figo zangu hizi madaktari watazikataa wenyewe maana zinanuka alcohol...
Husband ninaye na hela nataka,,,,, acha tu mama anione hizo zako za masharti siziwezi
Mimi siyo mganga wala sijawahi kumiliki tunguli mimi na masharti wapi na wapi sasa, anyway fanya mpango tukutane tupeane mawazo mbili tatu then nikupatie huo mpunga bure kabisa.
 
Wewewee!!!! Masharti si hayo maulizo mara una mume???!
We kunipa mpunga mpka tuonane???? Sema nikupe namba ya wakala fasta
Milion 5 kwa simu! Siri-kali itaanza kunifatilia na kunibambikia kesi ya uhujumu uchumi, wewe tukutane nikupatie keshi uzuri sinaga tamaa za kipuuzi maana mimi ni mtakatifu pale MT Adrew.
 
Duh,
Uchawa umerasimishwa mno.
Wanajua muuaji hatakiwi wanajitahidi kumpamba
 
Back
Top Bottom