Naomba kueleweshwa umuhimu wa waya wa earth

msigazi

JF-Expert Member
Sep 1, 2017
456
330
Wakuu!
Habari zenu
Natumaini muwazima wa afya tele

Lengo la kuandika hapa ni kupata mchanganuo wa waya ambao huwekwa chini ya ardhi na kuwekwa chuma cha rangi ya dhahabu na chumvi pamoja na mkaa

Huo waya unatokea kwenye main switch
Nilikuwa naulizia huo waya huwa unasaidia nini?

Je, ukiacha kuuweka kuna madhara ambayo yanaweza kutokea?

Ninakuwa naona watu wakimwagilia maji ninini faida yake?

Mwenye uelewa na somo hilo anisaidie

Elimu ni bahari.
 
Kwa uandishi huu itachukua muda kuelewa ulichotaka kusema.. Ila niliporudia mara ya pili nikagundua unazungumzia masuala ya wiring kwenye nyumba, hususan sababu ya kuweka ile earth wire. subiri mafundi waje
 
Kwa uandishi huu itachukua muda kuelewa ulichotaka kusema.. Ila niliporudia mara ya pili nikagundua unazungumzia masuala ya wiring kwenye nyumba, hususan sababu ya kuweka ile earth wire. subiri mafundi waje
Mkuu!

Umesaidia pakubwa Sana

Ndio Lengo langu Hilo mkuu.
 
Kwa uandishi huu itachukua muda kuelewa ulichotaka kusema.. Ila niliporudia mara ya pili nikagundua unazungumzia masuala ya wiring kwenye nyumba, hususan sababu ya kuweka ile earth wire. subiri mafundi waje
Ndio namaanisha Huo Huo waya
Husaidia nini?
 
Ndio namaanisha Huo Huo waya
Husaidia nini?
Inasaidia kuzuia shoti ya umeme mkuu.. unaposikia fuse imekata au circuit breaker imetrip ujue hii imesababishwa na uwepo wa ile wire. Na inazuia madhara kama nyumba kuungua au vifaa kuharibika kutokana na umeme kuzidi au hitilafu nyingine zinapotokea..maelezo watakupa mafundi wakija...
soma hapa chini pia kama kinapanda..


To provide a low resistance/impedance route to ground in the event of a fault.

The low impedance is intended to cause the circuit's protective fuse to blow, which then prevents a fire from starting and removes the possibility of an electric shock.
 
Inasaidia kuzuia shoti ya umeme mkuu.. unaposikia fuse imekata au circuit breaker imetrip ujue hii imesababishwa na uwepo wa ile wire. Na inazuia madhara kama nyumba kuungua au vifaa kuharibika kutokana na umeme kuzidi au hitilafu nyingine zinapotokea..maelezo watakupa mafundi wakija...
soma hapa chini pia kama kinapanda..


To provide a low resistance/impedance route to ground in the event of a fault.

The low impedance is intended to cause the circuit's protective fuse to blow, which then prevents a fire from starting and removes the possibility of an electric shock.
Asante mkuu!
 
Inasaidia kuzuia shoti ya umeme mkuu.. unaposikia fuse imekata au circuit breaker imetrip ujue hii imesababishwa na uwepo wa ile wire. Na inazuia madhara kama nyumba kuungua au vifaa kuharibika kutokana na umeme kuzidi au hitilafu nyingine zinapotokea..maelezo watakupa mafundi wakija...
soma hapa chini pia kama kinapanda..


To provide a low resistance/impedance route to ground in the event of a fault.

The low impedance is intended to cause the circuit's protective fuse to blow, which then prevents a fire from starting and removes the possibility of an electric shock.
Jibu S A H I H I
 
Mkuu iko Hivi Earthing ni system ambayo Umeme unapaswa kurudi ardhini Baada ya kubaki ktk matumizi Earthing au Ground ni Dampo la kila namna ya taka taka ukiwemo umeme wenyewe,

Kazi kubwa ya Earthing ni For protection yani ulinzi wako wewe mtumiaji wa Umeme, Kwanini basi tunakulinda na Umeme, Umeme una madhara makubwa sana ikiwa utapita mwilini mwako utapita mwilini ikiwa tu pana Leakage yani upitaji wa umeme ktk njia isiyo sahihi, Mara zote earth ipo ktk vifaa vyenye chuma yani metal case kifaa kama Fridge, Pass,Cooker vyote vina mabati ambayo ni conductor hapo hapo vifaa hivo tume vi supply Umeme Ikitokea ule waya wenye umeme Live umegusa lile bati la Fridge au pasi basi ujue nalo litakuwa na umeme na mtumiaji akigusa atapigwa shorti, Sasa ili kukulinda na Short circuit tunafunga Earthing kwenye hio metal case kukupa protection wewe mtumiaji umeme ukikosea njia ukagusa hio metal case basi kama imeungwa na earth hautapigwa short badala yake umeme huo utatambulika kama excess mawili utapelekwa ardhini au Breaker zako zitajizima baada ya kudetect hio inshu


Earth tunaiiweka na Chumvi au kumwaga maji kwa Malengo haya kwanza Earth ili iwe imara inahitaji unyevu nyevu ili kuipata Earthing point vizuri, Moisture ndo ground yenyewe mkuu chumvi na mkaa husaidia kuvuta maji karibia na Earth rod na kutengeneza unyevu nyevu ambao ndio tunauhitaji mkuu, Chuma kile cha Earth ni material aina ya Copper tunatumia copper kwa vile haishiki kutu(rust) na ina high conductivity. Earth ni muhimu sana sana Boss kwa Usalama wako binafsi unaweza itoa na system ikafanya kazi ila pakitokea Fault siku inaweza kukuletea madhara haswa kama una Appliances zenye meta cases.
 
Mkuu iko Hivi Earthing ni system ambayo Umeme unapaswa kurudi ardhini Baada ya kubaki ktk matumizi Earthing au Ground ni Dampo la kila namna ya taka taka ukiwemo umeme wenyewe,

Kazi kubwa ya Earthing ni For protection yani ulinzi wako wewe mtumiaji wa Umeme, Kwanini basi tunakulinda na Umeme, Umeme una madhara makubwa sana ikiwa utapita mwilini mwako utapita mwilini ikiwa tu pana Leakage yani upitaji wa umeme ktk njia isiyo sahihi, Mara zote earth ipo ktk vifaa vyenye chuma yani metal case kifaa kama Fridge, Pass,Cooker vyote vina mabati ambayo ni conductor hapo hapo vifaa hivo tume vi supply Umeme Ikitokea ule waya wenye umeme Live umegusa lile bati la Fridge au pasi basi ujue nalo litakuwa na umeme na mtumiaji akigusa atapigwa shorti, Sasa ili kukulinda na Short circuit tunafunga Earthing kwenye hio metal case kukupa protection wewe mtumiaji umeme ukikosea njia ukagusa hio metal case basi kama imeungwa na earth hautapigwa short badala yake umeme huo utatambulika kama excess mawili utapelekwa ardhini au Breaker zako zitajizima baada ya kudetect hio inshu


Earth tunaiiweka na Chumvi au kumwaga maji kwa Malengo haya kwanza Earth ili iwe imara inahitaji unyevu nyevu ili kuipata Earthing point vizuri, Moisture ndo ground yenyewe mkuu chumvi na mkaa husaidia kuvuta maji karibia na Earth rod na kutengeneza unyevu nyevu ambao ndio tunauhitaji mkuu, Chuma kile cha Earth ni material aina ya Copper tunatumia copper kwa vile haishiki kutu(rust) na ina high conductivity. Earth ni muhimu sana sana Boss kwa Usalama wako binafsi unaweza itoa na system ikafanya kazi ila pakitokea Fault siku inaweza kukuletea madhara haswa kama una Appliances zenye meta cases.
maelezo/elimu murua kabisa
 
Wakuu!
Habari zenu
Natumaini muwazima wa afya tele

Lengo la kuandika hapa ni kupata mchanganuo wa waya ambao huwekwa chini ya ardhi na kuwekwa chuma cha rangi ya dhahabu na chumvi pamoja na mkaa

Huo waya unatokea kwenye main switch
Nilikuwa naulizia huo waya huwa unasaidia nini?

Je, ukiacha kuuweka kuna madhara ambayo yanaweza kutokea?

Ninakuwa naona watu wakimwagilia maji ninini faida yake?

Mwenye uelewa na somo hilo anisaidie

Elimu ni bahari.
Kuna watakaokuja kukuambia ni wa kuunganishia walio chini ardhini nishati ya umeme!
 
Mkuu iko Hivi Earthing ni system ambayo Umeme unapaswa kurudi ardhini Baada ya kubaki ktk matumizi Earthing au Ground ni Dampo la kila namna ya taka taka ukiwemo umeme wenyewe,

Kazi kubwa ya Earthing ni For protection yani ulinzi wako wewe mtumiaji wa Umeme, Kwanini basi tunakulinda na Umeme, Umeme una madhara makubwa sana ikiwa utapita mwilini mwako utapita mwilini ikiwa tu pana Leakage yani upitaji wa umeme ktk njia isiyo sahihi, Mara zote earth ipo ktk vifaa vyenye chuma yani metal case kifaa kama Fridge, Pass,Cooker vyote vina mabati ambayo ni conductor hapo hapo vifaa hivo tume vi supply Umeme Ikitokea ule waya wenye umeme Live umegusa lile bati la Fridge au pasi basi ujue nalo litakuwa na umeme na mtumiaji akigusa atapigwa shorti, Sasa ili kukulinda na Short circuit tunafunga Earthing kwenye hio metal case kukupa protection wewe mtumiaji umeme ukikosea njia ukagusa hio metal case basi kama imeungwa na earth hautapigwa short badala yake umeme huo utatambulika kama excess mawili utapelekwa ardhini au Breaker zako zitajizima baada ya kudetect hio inshu


Earth tunaiiweka na Chumvi au kumwaga maji kwa Malengo haya kwanza Earth ili iwe imara inahitaji unyevu nyevu ili kuipata Earthing point vizuri, Moisture ndo ground yenyewe mkuu chumvi na mkaa husaidia kuvuta maji karibia na Earth rod na kutengeneza unyevu nyevu ambao ndio tunauhitaji mkuu, Chuma kile cha Earth ni material aina ya Copper tunatumia copper kwa vile haishiki kutu(rust) na ina high conductivity. Earth ni muhimu sana sana Boss kwa Usalama wako binafsi unaweza itoa na system ikafanya kazi ila pakitokea Fault siku inaweza kukuletea madhara haswa kama una Appliances zenye meta cases.
Kama ni ivo, kwanini pasi au brenda zingine waya zake hazina earth? yani pole mbili tu?
 
Kama ni ivo, kwanini pasi au brenda zingine waya zake hazina earth? yani pole mbili tu?
Umeuliza swali zuri mkuu!
Umuhimu wa kuwapo waya wa earth katika vifaa vya umeme ni kukulinda wewe mtumiaji pindi ikitokea waya wa moto( Live wire) utagusa metal cover inayotumika kufunika kifaa chako ,umeme huo uweze kupitishwa katika njia yenye ukinzani mdogo kuelekea ardhini na sio katika mwili wako.

Kwahivyo ikiwa kifaa unachotumia kimefunikwa kwa plastic na kimetengenezwa kwa namna ambayo wire wa moto (Live wire) hauwezi kugusa sehemu za metali hata kama itakuwa loose basi hakuna haja ya kutumia waya tatu(Live ,Neutral & Earth ).

Badala yake sasa ulinzi wa kifaa hicho utadhibitiwa na fuse iliyopo kwenye kichwa cha plug yake incase ya short circuit -Yaani endapo wire wa Live na Neutral zitakusana.
Hivyo kwa vifaa vingi vya namna hii ni vizuri kuhakikisha kuwa vinakuwa na fuse zilizokuwa specified na watengenezaji.

Mfano kama plug ya adapator yako ya computer imeandikwa inatumia current 3.5A wewe ukapachika fuse zaidi ya hapo mfano 5A basi pindi ikitokea hitilafu katika kifaa au mfumo wa umeme ni dhahiri kuwa adaptor yako na computer vitakuwa katika potential risk kubwa ya kuharibiwa.
 
Back
Top Bottom