5G IQ
Senior Member
- Sep 26, 2018
- 101
- 109
ww una uhakika wamefika??Wewe umejuaje kuwa hawafiki 47 ?
ww una uhakika wamefika??Wewe umejuaje kuwa hawafiki 47 ?
kutoa watatoa but ndo yatakua majib yenye maumiv makali ndo maana wanachelewa (mtazamo wang sina uhakika)Mkuu acha kutupa moyo
Nina uhakika sababu wamesema wenyewe HESLB Kuwa wamewapangia wanafunzi 47..ww una uhakika wamefika??
Yaani acha tu mkuu tutaumia sana siku iyo wakitoakutoa watatoa but ndo yatakua majib yenye maumiv makali ndo maana wanachelewa (mtazamo wang sina uhakika)
we unaaminije kitu bila evidenceNina uhakika sababu wamesema wenyewe HESLB Kuwa wamewapangia wanafunzi 47..
Sasa utuambie wewe hizo dhana zako umezitoa wapi ????
miaka yote lazima waweke allocation kwenye account ya mwanafunzi na wanatoa majina(PDF) ya wanafaika wote kwanini mwaka huu hawajatoa pdf
Me mwenyewe mechanical hapa ila had sa hv kichwa kinaumaNa mm nlipata First round Kaka,
Tena b. Engineering mzee..
Lakin sielew imekua Jeh..
But, tuwe na subiraa kaka batch two hatuwezi Kukosa..
Mungu Asaidie
UDSM mwanafunzi anaenda kulipa hela ndo apate elimu but HESLB mwanafunzi analipwa hela ndo apate hyo elimu so hawawezi kufanya vitu sawa na usifananisheHizo mambo za Pdf ni mambo ya kizamani .. sio lazima Pdf ..
Hata selection za UDSM hawajatoa pdf yeyote ile kila kitu ni kwenye Account yako ..
Mi kuna rafiki yangu kakosa mkopo 1st batch na alichaguliwa first batch mechanical engineerMe mwenyewe mechanical hapa ila had sa hv kichwa kinauma
hizo mambo ni bahati hakuna cha uchambuzi yakinifu wala nini. kuna dogo kapata chuo round 2 na alitokea diploma but mkopo kapata 1st batch na kala 100% kila k2 kapataMi kuna rafiki yangu kakosa mkopo 1st batch na alichaguliwa first batch mechanical engineer
Kunamambo huwa wanaangalia kutoa batch, tusubili zaidi tuone.Mi kuna rafiki yangu kakosa mkopo 1st batch na alichaguliwa first batch mechanical engineer
Umesikia wap mkuunaskia majiya ya mkopo kwa bach hii ni majina 349 tu, mwenye kujua ufafanuzi tafadhali?
Mkuu, wewe siulisema hakuna batch two hadi turipot chuo.naskia majiya ya mkopo kwa bach hii ni majina 349 tu, mwenye kujua ufafanuzi tafadhali?
Nani kakwambia Lakin?naskia majiya ya mkopo kwa bach hii ni majina 349 tu, mwenye kujua ufafanuzi tafadhali?
Pamoja sana mkuu, yote ni sehemu ya maisha ya kusoma. Kikubwa ni kuomba Mungu zaidi ili kila mwenye bahati yake basi apate mkopo. God is there for us.Afu Niwambie kitu..
HESLb, washasemaa wanufaika n Elf 54000 na ukitoaa 47305 unabaki na 6695..
Na kimsng Badru alsema wote watakao baki tutawatoa At once..
Probably Ni Batch II tuu..
We km Ni second, third, fourth, fifth year..Tulia nafasi zipo elf 40..
Huwezi kukosaa, La msng iman iweke Mbele tuu..
Sisi mwaka wa kwnz tusublie miujizaa maana 36,000 na point Kuna kuwa out of allocation..
Maombi kumbka n 92000
Hivyo msifarijiane mwambizane ukwel km Watu wazmaa
Mi ikifika saa 10 ndo nita assume hamna kituKwa hali hii, naleo hakuna kipya hapa.
Hawa bodi wanachofanya wanajua wao tu.Mi ikifika saa 10 ndo nita assume hamna kitu