Bhakusyobhile
Member
- Aug 1, 2018
- 47
- 126
Watu mliowahi kufanya mtihani mgumu wa uhasibu wa utumishi wa umma (GOVERNMENT STANDARD ACCOUNTANCY EXAMINATION).
Je, hii ni mitihani gani? Ukimaliza na kufaulu unapata/unatunukiwa nini?
Kuna utofauti uliopo Kati ya mitihani hii na Ile ya NBAA?
Kama ni tofauti mtahiniwa atatakiwa kuwa na sifa zipi ili afanye mitihani hii?
Je, hii ni mitihani gani? Ukimaliza na kufaulu unapata/unatunukiwa nini?
Kuna utofauti uliopo Kati ya mitihani hii na Ile ya NBAA?
Kama ni tofauti mtahiniwa atatakiwa kuwa na sifa zipi ili afanye mitihani hii?