Naomba kuelekezwa zilipo ofisi za wizara ya elimu, sayansi na teknolojia

Inner victory

Member
Nov 13, 2013
48
10
Habari za asubuhi wakuu.. Naomba mnielekeze sehemu zilipo ofisi ya wizara ya elimu, sayansi na teknolojia hapo Udom.
 
chukua gari hapo jamatini kuelekea udom ukifika kituo cha njiapanda shuka uliza dereva Boda boda watakueleza
 
Njoo UDOM uki fika ulizia gali za social bondeni panda hizo hizo afu ushuke mwisho wa gali linapo geuzia uki fka 2 apo ulizia uta elekezwa sio mbali na unapo shukia.
 
Back
Top Bottom