GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,553
- 108,889
Kama kuna Taasisi ambayo kwa sasa nikiri wazi wazi hapa Jamvini kuwa inanikera na endapo nami ningepata tu angalau Mafunzo ‘ Kiduchu ‘ ya Kigaidi kutoka Kwake aliyekuwa Mtaalam na Bingwa wa Ugaidi duniani Marehemu Osama Bin Laden ningeanza nayo kwa ‘ Kuilipua ‘ nap engine hata kumlipua Mhusika wake Kimamlaka basi ni TANESCO.
Haiwezekani na inakera sana kwani Umeme unakatwa ‘ Kiholelaholela ‘ tupu kama siyo ‘ Kipopoma ‘ kabisa na kinachoniuma zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huwa hakuna hata taarifa yoyote ya awali ambayo Sisi Wateja Wao huwa wanatuambia ili nasi tujiandae. Kwakweli TANESCO mnatutesa vilivyo Wanakazi wa Mkoa huu wa Dar es Salaam kwa hii Kata Kata yenu ambayo huwa haina muda.
Hivyo basi namwomba mwenye Mkoa wake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa yupo ‘ busy ‘ na Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars ) inayojiandaa na Mchezo wake Siku ya Jumapili kwamba baada ya huo Mchezo basi tunamuomba Yeye na hiyo Kamati yake watusaidie Sisi Wakazi wa Dar es Salaam tuwe na Umeme wa uhakika au Wao ( Kamati hiyo ) ndiyo wawe wasimamizi Wakuu wa TANESCO kwani naamini hawatashindwa Kitu na Umeme Kukatikakatika itakuwa sasa ni Historia.
Inaudhi na Kukera mno tu kwani ukijirudia zako mchana kutoka Mihangaikoni na kutaka ujifariji na Feni yako hasa ikijulikana kwa sasa Dar es Salaam Joto limeshika Kasi huku ukiwa umejilaza zako TANESCO wanakata Umeme ghafla haya hujakaa sawa tena Usiku unamsadia GENTAMYCINE Junior na ' Homework ' zake TANESCO wanakata Umeme mara tena umeshikwa zako na Haja Kubwa hivyo umeenda zako Msalani / Chooni / Maliwatoni unaanza tu Kujisaidia zako huku ukituuliza Akili yako na Kutafari Maisha yalivyo mara ghafla TANESCO tena wanafanya yao ( wanakata Umeme ) matokeo yake hata Rada yako ya Ubongo ilipokuelekeza ushushe Mzigo wako ( Nnya ) inapotea na matokeo yake unashushia pembeni na hapo bado kuna Zoezi la Kunawa Mikono gizani bado linakusubiri.
Naomba Kuuliza hivi TANESCO Sisi Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam tumewakoseeni nini? Kwanini mnatutesa hivi kwa Kutukatia hovyo na mara kwa mara Umeme hadi mnatuunguzia Mali zetu na kuturudisha tena katika Umasikini tunaojaribu Kuukimbia? Halafu Wewe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda na huyo Waziri husika Kalemani hivi hizi Lawama na Kero za TANESCO hamzipati? Hivi kwa ' Upuuzi ' huu unaofanywa na TANESCO Watanzania wakikerwa na Serikali yao ambayo ipo chini ya CCM na wakamchukia hadi Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli watakuwa wanakosea au mtawalaumu?
Ukiona hadi GENTAMYCINE naandika Kitu cha namna hii jua yamenifika na nimekera sana tu. TANESCO mjirekebishe upesi,
Nawasilisha.
Haiwezekani na inakera sana kwani Umeme unakatwa ‘ Kiholelaholela ‘ tupu kama siyo ‘ Kipopoma ‘ kabisa na kinachoniuma zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huwa hakuna hata taarifa yoyote ya awali ambayo Sisi Wateja Wao huwa wanatuambia ili nasi tujiandae. Kwakweli TANESCO mnatutesa vilivyo Wanakazi wa Mkoa huu wa Dar es Salaam kwa hii Kata Kata yenu ambayo huwa haina muda.
Hivyo basi namwomba mwenye Mkoa wake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa yupo ‘ busy ‘ na Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars ) inayojiandaa na Mchezo wake Siku ya Jumapili kwamba baada ya huo Mchezo basi tunamuomba Yeye na hiyo Kamati yake watusaidie Sisi Wakazi wa Dar es Salaam tuwe na Umeme wa uhakika au Wao ( Kamati hiyo ) ndiyo wawe wasimamizi Wakuu wa TANESCO kwani naamini hawatashindwa Kitu na Umeme Kukatikakatika itakuwa sasa ni Historia.
Inaudhi na Kukera mno tu kwani ukijirudia zako mchana kutoka Mihangaikoni na kutaka ujifariji na Feni yako hasa ikijulikana kwa sasa Dar es Salaam Joto limeshika Kasi huku ukiwa umejilaza zako TANESCO wanakata Umeme ghafla haya hujakaa sawa tena Usiku unamsadia GENTAMYCINE Junior na ' Homework ' zake TANESCO wanakata Umeme mara tena umeshikwa zako na Haja Kubwa hivyo umeenda zako Msalani / Chooni / Maliwatoni unaanza tu Kujisaidia zako huku ukituuliza Akili yako na Kutafari Maisha yalivyo mara ghafla TANESCO tena wanafanya yao ( wanakata Umeme ) matokeo yake hata Rada yako ya Ubongo ilipokuelekeza ushushe Mzigo wako ( Nnya ) inapotea na matokeo yake unashushia pembeni na hapo bado kuna Zoezi la Kunawa Mikono gizani bado linakusubiri.
Naomba Kuuliza hivi TANESCO Sisi Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam tumewakoseeni nini? Kwanini mnatutesa hivi kwa Kutukatia hovyo na mara kwa mara Umeme hadi mnatuunguzia Mali zetu na kuturudisha tena katika Umasikini tunaojaribu Kuukimbia? Halafu Wewe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda na huyo Waziri husika Kalemani hivi hizi Lawama na Kero za TANESCO hamzipati? Hivi kwa ' Upuuzi ' huu unaofanywa na TANESCO Watanzania wakikerwa na Serikali yao ambayo ipo chini ya CCM na wakamchukia hadi Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli watakuwa wanakosea au mtawalaumu?
Ukiona hadi GENTAMYCINE naandika Kitu cha namna hii jua yamenifika na nimekera sana tu. TANESCO mjirekebishe upesi,
Nawasilisha.