Naomba humu watu waheshimiane

Naomba humu watu waheshimiane

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
4,800
Reaction score
8,989
Kuna wanawake wanajiona sana matawi nyuma ya hizi profile zetu wanatukana wanawake wenzao .
Huna haya kwanza wewe unanguvu sana zakuwaandama wenzako .

Nahuku wewe mwenye unashida huna hata marafiki ,ndugu wamekutelekeza .

MTu anaid za mia mbili kisa kujibu wenzake kunya nakuwasumbua.
Hao niwanawake .

Wanaume
Humu hakuna malaya na kama wapo ninyie mmewawekea hilo jina .

Jamani mkija PM sio sex mtu anawaza anatafuta mwanaume anayejiheshimu kama unaupwiru wako peleka kwa malaya wenzako .

Watu ni watu wazima na wanataka watu wenye akili sio malaya nakupotezeana muda .

Makundi

Kuna vimakundi vya kipuuzi kuna vizee ,watoto,vijana ,vimama na vihongwe komeni kuwatafuta watu humu kwa maana kila mtu anakuja kula good time.
JamiiForums sio yenu.fungueni yenu,

Msumbue watu tokea 2019 hadi 2025 hamjachokatu kufuatilia watu .
Hamjazeeka tu hadi msaahau JF .

Mnakera nyie ndio mnajuaga kila kitu cha humu cha nje cha wapi.
Mnawaona wengine hawajielewi nyie mnajielewa . Mnachosha .

Hebu heshimuni wenzenu na hakuna mtu mnamlisha hadi muone ni watu wakushushiwa heshima.
 
uki wahishwa uta pona tu, Jitahidi kunywa dawa kwa wakati
FB_IMG_17508766000156007.jpg
 
Kuna wanawake wanajiona sana matawi nyuma ya hizi profile zetu wanatukana wanawake wenzao .
Huna haya kwanza wewe unanguvu sana zakuwaandama wenzako .

Nahuku wewe mwenye unashida huna hata marafiki ,ndugu wamekutelekeza .

MTu anaid za mia mbili kisa kujibu wenzake kunya nakuwasumbua.
Hao niwanawake .

Wanaume
Humu hakuna malaya na kama wapo ninyie mmewawekea hilo jina .

Jamani mkija PM sio sex mtu anawaza anatafuta mwanaume anayejiheshimu kama unaupwiru wako peleka kwa malaya wenzako .

Watu ni watu wazima na wanataka watu wenye akili sio malaya nakupotezeana muda .

Makundi

Kuna vimakundi vya kipuuzi kuna vizee ,watoto,vijana ,vimama na vihongwe komeni kuwatafuta watu humu kwa maana kila mtu anakuja kula good time.
JamiiForums sio yenu.fungueni yenu,

Msumbue watu tokea 2019 hadi 2025 hamjachokatu kufuatilia watu .
Hamjazeeka tu hadi msaahau JF .

Mnakera nyie ndio mnajuaga kila kitu cha humu cha nje cha wapi.
Mnawaona wengine hawajielewi nyie mnajielewa . Mnachosha .

Hebu heshimuni wenzenu na hakuna mtu mnamlisha hadi muone ni watu wakushushiwa heshima.
Facebook ndo mahali sahihi kupeleka malalamiko haya.
 
Back
Top Bottom