God over everything
Member
- Feb 11, 2023
- 14
- 15
Habari zenu Wakuu.
Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua.
Nawaomba sana, Nikipata kazi ya kulipwa kwa siku angalau 5,000.
Naishi Dar es salaam, Najua kutumia Kompyuta vizuri sana, Elimu kidato cha 6.
Mbarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua.
Nawaomba sana, Nikipata kazi ya kulipwa kwa siku angalau 5,000.
Naishi Dar es salaam, Najua kutumia Kompyuta vizuri sana, Elimu kidato cha 6.
Mbarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏