Naomba anayewajua EXACT MANPOWER CONSULATING anisaidie

Naomba anayewajua EXACT MANPOWER CONSULATING anisaidie

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,498
Reaction score
28,720
NIMEITWA kwenye interview na hawa EMC , wanapatikana mwai kibaki huko mikocheni .

Naomba anayewajua anaipe ufafanuzi, na interview zao zipoje
 
NIMEITWA kwenye interview na hawa EMC , wanapatikana mwai kibaki huko mikocheni .

Naomba anayewajua anaipe ufafanuzi, na interview zao zipoje
Hao ni Agent wa kutafutia watu kazi kwenye makampuni mbalimbali.
So huwa wanarecruit job seekers kwa kuwafanyisha Interview then ikitokea kazi mahali wanakuita.
So wakikuita kupata kazi inategemea Kama Kuna kazi kwenye kada yako,Kama hakuna kazi kwenye kada yako watakujibu tu"once we get the job we will notify you"
Kuhusu Interview zao kwanza ukifika utapewa written exam/Aptitude test ambayo inakuwa na maswali mchanganyiko mengine ni Kama ya primary school,then ukimaliza hapo kwa ajili ya hr questions just mahojiano kuhusu background yako na salary burgaining.
After then utarudi home kusikilizia Kama watakuita tena.
I think nimekujibu vizuri swali lako.
 
Hao ni Agent wa kutafutia watu kazi kwenye makampuni mbalimbali.
So huwa wanarecruit job seekers kwa kuwafanyisha Interview then ikitokea kazi mahali wanakuita.
So wakikuita kupata kazi inategemea Kama Kuna kazi kwenye kada yako,Kama hakuna kazi kwenye kada yako watakujibu tu"once we get the job we will notify you"
Kuhusu Interview zao kwanza ukifika utapewa written exam/Aptitude test ambayo inakuwa na maswali mchanganyiko mengine ni Kama ya primary school,then ukimaliza hapo kwa ajili ya hr questions just mahojiano kuhusu background yako na salary burgaining.
After then utarudi home kusikilizia Kama watakuita tena.
I think nimekujibu vizuri swali lako.
Umenijibu vzr sana na ndio nimetoka huko , ila kwenye written maswali yao nimeyapenda hayajanizingua ,kazi kwenye oral nimezingua ,

Hivo nasikilizia kama nitapita
 
Umenijibu vzr sana na ndio nimetoka huko , ila kwenye written maswali yao nimeyapenda hayajanizingua ,kazi kwenye oral nimezingua ,

Hivo nasikilizia kama nitapita
Walitangaza nafasi gani?
 
Umenijibu vzr sana na ndio nimetoka huko , ila kwenye written maswali yao nimeyapenda hayajanizingua ,kazi kwenye oral nimezingua ,

Hivo nasikilizia kama nitapita
Uliombaje hapo na sisi wengne graduates tupeleke particular zetu
 
Back
Top Bottom