Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,716
- 36,186
Hello!
Kipindi naanza kazi kazini watu walisimama kupiga madili kwa kipindi cha mwaka mmoja hivi wakiusoma mchezo. Nilijua baadaye sana kuwa kulikuwa na madili yalikuwa yakifanyika lakini walisitisha wakihofia kuwa Mimi nimekuja kuwazoom. Kumbe Mimi nimeletwa na njaa zangu tu.
Baadaye Mzee mmoja mstaafu akaanza kufanya vidili vyake na kunifundisha kupiga vidili vidigovidogo . Wengine wote hakuna aliyethubutu kuniambia issue yoyote.
Kuna ule upigaji kwa mtindo wa posho za safari huku hujasafiri mabosi hutumia account za watumishi kupata pesa, account yangu haijawahi kupitishiwa hata sh. Mia za za issue.
Sijui ukimya ndio unawachanganya na kuhisi kuwa niko na mission nyingine niwapo kazini. Kuna makosa mengine ya jumla, unakuta wengine wanapewa warning letter lakini Mimi hata kuulizwa siulizwi.
Hata bosi ananiogopa ukimwangalia usoni.
Tabia ya umbea na kujipendekeza kwa viongozi sina.
Kipindi naanza kazi kazini watu walisimama kupiga madili kwa kipindi cha mwaka mmoja hivi wakiusoma mchezo. Nilijua baadaye sana kuwa kulikuwa na madili yalikuwa yakifanyika lakini walisitisha wakihofia kuwa Mimi nimekuja kuwazoom. Kumbe Mimi nimeletwa na njaa zangu tu.
Baadaye Mzee mmoja mstaafu akaanza kufanya vidili vyake na kunifundisha kupiga vidili vidigovidogo . Wengine wote hakuna aliyethubutu kuniambia issue yoyote.
Kuna ule upigaji kwa mtindo wa posho za safari huku hujasafiri mabosi hutumia account za watumishi kupata pesa, account yangu haijawahi kupitishiwa hata sh. Mia za za issue.
Sijui ukimya ndio unawachanganya na kuhisi kuwa niko na mission nyingine niwapo kazini. Kuna makosa mengine ya jumla, unakuta wengine wanapewa warning letter lakini Mimi hata kuulizwa siulizwi.
Hata bosi ananiogopa ukimwangalia usoni.
Tabia ya umbea na kujipendekeza kwa viongozi sina.