Naogopa kuolewa...

Naogopa kuolewa...

tofali

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
4,010
Reaction score
3,422
(**nikikaa nikifikiria swala la kuolewa huwa nakosa raha..nawaza kuwaacha wazazi wangu...mimi ni mtoto wa mwisho..na nyumbani tumebaki mimi., baba na mama...wengine woote washaoa na kuolewa.nawaza ntawaacha pekee...ntakimiss chumba changu n all the good things about home...my dad n mum treats me like a little child...while am a big girl working...26 yrs old.kazi zoote naweza meaning I can take care of others n myself coz kwa suala la kufanya kazi za nyumbani mama haendekezi ujinga...okey huu ndo umri wa kuolewa na nina boyfriend tunapendana and he fits to be my husband. .na yy anaona m the perfect wife material for him...tuko pamoja tangu chuo....hofu inakuja kuondoka kwetu na kwenda kuishi na mtoto wa mwanamke mwingine..aliyelelewa kwa malezi wanayoyajua wao....kazi itakuja pale atakapoonyesha true colours ndani ya ndoa...muda si mrefu atataka kupropose as nnaona dalili na ananipenda mnoo AS ameacha kazi mkoani na kuamua kuja kufanya kazi mkoa ninao ishi mimi ...my sistas wananiuliza unaolewa lini wewe..coz nna kazi nzuri.....nishaurini mwenzenu..wenzangu mlio ndoani...*****)MANENO YA BIDADA CLASSMATE WANGU
 
If you are not ready to jump the broom then don't do it.

As simple as that. Do it when you are ready and when and if you want to.

Don't do it because of societal pressure. Live your life. Don't live it to please others.
 
When you will be ready wala hutahitaji ushauri you will just jump into the stage and follow the rhythm of the music. So wait until when you will be ready
 
Mmmh! Mbona kama vile hujaridhika kuwa na huyo kaka!!?
 
​I can easily prophesy that before the end of this year were utakuwa umekwisha anzisha wall hapo huwezi kukaa, Sema hujampata jamaa atakaye kupatia tina ya ukweli kiasi kwamba utaukosa usingizi. Pole na hongera kwa msimamo huo, lakini iko siku utatuambia kwamba kuna mtu amekukuna kiasi kwamba huwezi tena kukaa mbali naye. Ukitaka kuthibitisha were muulize mama yako kwa mini yeye hakukaa kwa wazazi wake mpaka leo.
 
Nikushauri tu uamue mwenyewe kuolewa au la, simply as that.
May God help you!.
 
Zaa hapo home si hutaki kuondoka ?
Hujui hata Baba & Mama yako nao
walikuwa na kwao na Wazazi pia lakini
waliwaacha kwenda kutengeneza maisha
yao.
 
Aiyeee iyee kuolewa utarudi nyumbani kutembea, usikilize moyo wako dada.
 
Hilo ni tatizo la baadhi ya akina dada. Lakini siku hizi wanaoogopa kuolewa ni wachache. Wengi wanaona wanakosa uhuru kwa kuendelea kukaa na wazazi. Kwa hiyo walio kama wewe ni wachache sana siku hizi.Inaonyesha hujaanza yale mambo. Ukianza hofu yote ya kuolewa itakwisha,utataka uondoke haraka nyumbani ukafaidi raha na mpenzi wako.
 
(**nikikaa nikifikiria swala la kuolewa huwa nakosa raha..nawaza kuwaacha wazazi wangu...mimi ni mtoto wa mwisho..na nyumbani tumebaki mimi., baba na mama...wengine woote washaoa na kuolewa.nawaza ntawaacha pekee...ntakimiss chumba changu n all the good things about home...my dad n mum treats me like a little child...while am a big girl working...26 yrs old.kazi zoote naweza meaning I can take care of others n myself coz kwa suala la kufanya kazi za nyumbani mama haendekezi ujinga...okey huu ndo umri wa kuolewa na nina boyfriend tunapendana and he fits to be my husband. .na yy anaona m the perfect wife material for him...tuko pamoja tangu chuo....hofu inakuja kuondoka kwetu na kwenda kuishi na mtoto wa mwanamke mwingine..aliyelelewa kwa malezi wanayoyajua wao....kazi itakuja pale atakapoonyesha true colours ndani ya ndoa...muda si mrefu atataka kupropose as nnaona dalili na ananipenda mnoo AS ameacha kazi mkoani na kuamua kuja kufanya kazi mkoa ninao ishi mimi ...my sistas wananiuliza unaolewa lini wewe..coz nna kazi nzuri.....nishaurini mwenzenu..wenzangu mlio ndoani...*****)MANENO YA BIDADA CLASSMATE WANGU

Jamani nipende mimi, mi ni HB mbaya hata wakati nasoma maduu walikua wananipasukia wazwaz ila kitivo nlichokua nasoma kilikua kigumu sana sikua na taimu nao, ukinikubalia tukioana tutaka home kwenu ila mimi bado sijapata kazi.
 

Olewa upesi mdogo wangu, wapo wanaoitafuta hiyo bahati wanaikosa.Muda ukishapita utatafuta hata wa kukuzalisha tu ukose, kila laa heri katika maandalizi ya kuolewa! Soma katika biblia mungu alishasema utawaacha wazazi wako na utaolewa!
 
mungu kasema ni haki ya kuoa au kuolewa so madam ushafika mda wk bac olewa kwn hao wazee wk wameshaacha wazee wao na kuanzisha familia yao ndo ukapatikana we na wenzako me nakushaur km uko tayar kuolewa we olewa kwn hata ukichelewa kuna mambo baadae yatakufika waswahil wanasema jihadhar kabla ya hatari fanya uolewe na vl vl wanasema kwamba chelea chelea utamkuta mwana co wk kwn naye huyo kipenz chako baadae atashindwa kujizuia so kubal matokeo km tayari huo ndo ushauri kutoka kwng km unataka zaid nicheki nitakupatia ushaur mzr zaid ya huo
 
Duh! Jina lako(@tofali) na ulivyolia lia kidada du wala haviendani!
 
Ukifika miaka 30 utakuwa unasema unatamani kuolewa..sura itakjwa imechuchuka na hakuna ataye kupa Hata hi
 
Back
Top Bottom